Vanessa Mdee aja na muonekano mpya, sasa kama Bob Marley

Hivi jux hamuoni ? Au naye kakubali muonekano wa mpenzi wake
 
Yani kibangi bangi tu!. Umarekani unawasumbua sana hawa
 
Amekua mbaya angejua hata asingejisumbua.
 
Huo muonekano kwako ni kama wa Bob Marley? Kama humjui Bob Marley usimfananishe na watu wakijinga...
For sure. Watu wengine wanaudhi jmn basi tu. Mpeni Mfalme heshima yake msituharibie siku bure tafadhali pkease please
 
Bob wa kwenye makaratasi au Bob halisi ninayemjua? Babake Ziggy na Damien? Nooooo way talk of something else please.
 
huyu mdada ni mzuri tu ila sijui ni nini kinamdanganya kuweka muonekano wako ovyo kiasi hicho yani sijui ni umagharibi mwingi kuna macostume ya kuvaa maslut yeye anayavaa nilivyoona wimbo wake wa uniroge ndo nikamshangaa hapendezei yani kujiweka hivyo. Naona atulie tu na muonekano wakueleweka sio mawigi mpaka ya kijani.
 
nasikia hata tunda yumo,kale ka video queen ka young de!?
 
Sa siasokote dread..anaweka mkonge huo wa nini sasa
 
Na asisahau kwenda Central Police kwa ajili ya mahojiano
 
Anakuwa kama doll
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…