Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majaji kulingania uhalisi.Leo hata ukimuweka alikiba na drake kiba anashinda sasa si upumbavu huuKigezo kipi sio cha kipumbavu
atamwambia alipiga lakini hazikutosha.Je akikujibu kampigia utafanyaje
Ubora wa upi wa Kuvaa uchi na umarekani?!Kura zimetenda haki ila kwa kweli Vee pesa yuko vyema kwa sasa !jide kabebwa na loyal fans tu sio kwa kuwa yuko bora dhidi ya Vee!
Kila Tuzo zina taratibu zake we unataka EATV award wawe na utaratibu kama wa Mtv alafu mje kusema humu kuwa jamaa wana-copy na ku-paste?!Unahisi upigaji kura tu ni njia bora ya kupata mshindi maana kama ndo ivo basi mwaka huu MTV mama tuzo zote zingekuja bongo maana hakuna nchi iliyo na mwamko wa upigaji kura kama tz
Mkuu acha jazba sio kila anaepigia kura basi atashinda au unataka kutuaminisha kuwa Jide hakupigiwa kura hata moja na Wananchi?!Naona tuzo za sikuhizi zina matatizo sana watu wanapiga kura lakini mshindi anatangazwa mwingine..
Mbona Diamond anajiweka kinigeria?Vanessa ana jiweka Sana kizungu yule ndo tatizo
Unaongea na hasira sana kama kiba anakulipaga almost tuzo zote duniani zina majaji ndo maana ata mtvema walimpa wizkid japo kibakuli alikuwa na kura nyingi......baada ya maandamano yenu nd wakaamua waepushe Shari maana kelel zilizid....majaji wanahitajika kwny tuzo hata wadau wa Sana'a wanashauri ivoKila Tuzo zina taratibu zake we unataka EATV award wawe na utaratibu kama wa Mtv alafu mje kusema humu kuwa jamaa wana-copy na ku-paste?!
Na usisahau mtv Ema wenyewe wana-category ambazo zilipatikana kwa popular vote kama African act aliyoshinda Ali kiba so usipende kulaumu laumu tu bila kuelewa kuwa kila tuzo wana taratibu zao na EATV Award toka wanaanza washasema wenyewe ni kupiga kura tu basi no blaah blaah