Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kaliUzi Bila picha Ni sawa na Hashim Rungwe bila UBWABWA
imoMkuu uzi bila hata picha ni kama kampeni bila mabango ya mgombea
Kwa hiyo mkuu mtu asiweke mtuwe mpya kisa wa zamani mbona maajabu haya.Muache afurahie atakavyoView attachment 1593095
Wazoefu wa mapenzi tunaona kabisa Vanessa Mdee bado yupo na ile michezo ya sekondari pale ambapo tulivyowapiga chini madem zetu walikuwa wanaanza michezo ile ya kujaribu kupata attention zetu kwa kutumia nguvu kubwa sana kujichoresha mbele ya wapenzi wao wapya.
Na kwa kutumia instagram mbinu hii imekuwa ya kidijitali ambapo Vanessa Mdee anaweza kupost karibu picha 20 kwa siku yupo na mpenzi wake mpya.
Jux hana habari kabisa na huenda labda ashajua lengo la Mdee, hiki kitu kinamfanya Mdee azidi kuwa kichaa wa visasi maana sio kwa picha hizi.
Mkuu umeskia kuwa ubwabwa wetu huo utakuwa ni Mchele kutoka China?Uzi Bila picha Ni sawa na Hashim Rungwe bila UBWABWA
[emoji1787][emoji1787]Kwani uwa una cheza nae mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani uwa una cheza nae mkuu
Watakuwa chakula chao cha kila siku ni sembe hawa hakuna ndoa hapo ni sembe ipo kichwani na wakichelewa hata kuwa na mtoto muda huu sijui hata mtoto atapatikana.sembe kwa kwenda mbeleView attachment 1593095
Wazoefu wa mapenzi tunaona kabisa Vanessa Mdee bado yupo na ile michezo ya sekondari pale ambapo tulivyowapiga chini madem zetu walikuwa wanaanza michezo ile ya kujaribu kupata attention zetu kwa kutumia nguvu kubwa sana kujichoresha mbele ya wapenzi wao wapya.
Na kwa kutumia instagram mbinu hii imekuwa ya kidijitali ambapo Vanessa Mdee anaweza kupost karibu picha 20 kwa siku yupo na mpenzi wake mpya.
Jux hana habari kabisa na huenda labda ashajua lengo la Mdee, hiki kitu kinamfanya Mdee azidi kuwa kichaa wa visasi maana sio kwa picha hizi.