Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee unavutia?Uummmh...nah!
Wanaume watu wa ajabu kweli kweli. Vanessa havutiii hataaaa ila kuna mtu halali huko
Yes mimi.mars anatamanisha sio huyuMhhh mimi huyu sina mzuka nae kabisa labda Mdogo wake "MIMI MASI" kidogo ana nyama nyama huyo naona mifupa tupu kama BETINA.
Kabisa sijawahi kuvutiwa hata chembe na Vanessa.
Yaani unataka mtazamo wako wa kike kuhusu mvuto kwa mwanamke uwe sawa na mtazamo wa mwanaume anavyovutiwa na mwanamke??Uummmh...nah!
Wanaume watu wa ajabu kweli kweli. Vanessa havutiii hataaaa ila kuna mtu halali huko
Sio kweliusitujumlishe, huyo hata tulale na tukumbatiane usiku kucha wala simgusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhhh mimi huyu sina mzuka nae kabisa labda Mdogo wake "MIMI MASI" kidogo ana nyama nyama huyo naona mifupa tupu kama BETINA.
Uummmh...nah!
Wanaume watu wa ajabu kweli kweli. Vanessa havutiii hataaaa ila kuna mtu halali huko
Sio kweli
Kuna Mwingine Aisee hana nyama kabisa nahisi ngozi imekamatana na mifupa ..FLAVIANA MATATA.
SURE BOSS zamani nilikuwa namcheki Vanessa kama demu flani hivi ambaye havutii kabisa Kuna siku nilitulia nikamcheki kwa umakini aisee vannesa mtamu nyie acheni kabisajux hapo humwambii kitu kabisa
Kizuri nakipa sifa, mwili wake ni mzuri na unavutia
Inawezekana huvutiwi sana na umbo Kama hilo lakini nakataa kuwa mkiwekwa kitanda kimoja humgusi, haiwezekani! Utadindisha na kumtomba juu.unajua ktk hii dunia tunatofautiana matamanio, mimi napenda vinyama kidogo na wapo wanapenda kama Vanessa, so uniamini nisemacho.
pia haifai kuwa fisi yaani kila mzoga unazoa, hapana...uchaguzi na kuheshimu hisia ni muhimu sana bila kujali ulivyo wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana huvutiwi sana na umbo Kama hilo lakini nakataa kuwa mkiwekwa kitanda kimoja humgusi, haiwezekani! Utadindisha na kumtomba juu.
Mmh haya, msalimie huyo anayekuvutia.Naomba nikuhakikishie kama sijapanga kukulana kweli sitakugusa, sijawahi kufanya ngono zembe hata siku moja, nimekutana na mazingira ya dharura kama hayo mara kadhaa lakini nashukuru nilishinda tamaa ya mwili.
Huwa napenda kufanya tendo hilo kwa maandalizi na kwa aliyeugusa moyo wangu...kama mtu flani anavyonivutia..[emoji8][emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app