Vanessa Mdee: Jux hawezi kitu kitandani

"Maneno ya kuambiwa" alafu unapanikije kifala ivyo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yan hata hujamsikia muhusika kama ni yeye kweli au la.. usha mchukia wengine wana chuki binafsi wanazusha yao tu
 
Amenikumbusha kuna rafiki yake mmoja Vanessa naye kitambo alishapigwa chini akasema maneno kama hayo.

Inawezekana akili zao moja.
 
Diamond kapoteza nyota ipi sasa?
 
Huyu si alifikishwa polisi kwa tuuma za kula 'unga'?
 
Juma kamuumiza Sana huyu binti masikini halafu bado anajifanya mwema machoni mwa watu inauma sana kwa kweli, kamuacha mwenzake anaonekana fedhuli kwa stress ndo maana namuomba Sana Mungu niwe hai kipindi binti yangu anaanza mahusiano kiukweli
Huyu binti mwenyewe si ndio anathibitisha ufedhuli wake sasa😄.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…