Nyox official
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 597
- 451
nyie ndo mnatukwamishaa,dem mwanaccm piga rungu tu c wa kuoa cz wako kama musiba,n kucheza tu na upepo,kichwa emptyWivu tu bichwa lako[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyie ndo mnatukwamishaa,dem mwanaccm piga rungu tu c wa kuoa cz wako kama musiba,n kucheza tu na upepo,kichwa emptyWivu tu bichwa lako[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Hivi hao wazima kweli?! Wameniudhi sijui kwann?Amtafute huyu basi View attachment 1172373
👍"Sizitaki mbichi hizi"
"Maneno ya mkosaji"
"Maneno ya kuambiwa" alafu unapanikije kifala ivyo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yan hata hujamsikia muhusika kama ni yeye kweli au la.. usha mchukia wengine wana chuki binafsi wanazusha yao tuUjinga kiwango cha lami, sijui watu wataacha lini kutoleana siri zao wakishaachana, mambo ya kishamba mbona alikaa nae kama hajui kitu??Je yeye anajijua kama yuko vzr kwa kila kitu na hana kasoro??Nimekadharau haka kadem kweli mbona mshikaji yeye kajibu kistaarabu tu
Diamond kapoteza nyota ipi sasa?Jux ni mtu tofauti sana .
Amevumilia mengi huyo vanessa ni mpumbavu hajatulia anajiona sana naalikuwa anamdharau jux anatembea na mastaa wakimarekani ila hajajua moja alipoteza nyota yake kama daimond alivyopoteza nyota yake .
Binadamu tumeumbwa kutotambua nyota yako unaenda kwa mikosi tu watu wasiokudhamini watu wasiokujali na unamtegemea asiyekuona unafaa.
Ndio maisha lakini vane baibai nyota yako.
Utaangalia mwa macho chote ulichovuna naye kinaliwa na mwingine isitoshe hicho kifua ulichokua unakilalia wakati umeshindwa jambo hakipo tena .
ZariDiamond kapoteza nyota ipi sasa?
DUHAmtafute huyu basi View attachment 1172373
Vanessa amevujisha Siri ya faragha heshima yake imeshukaSauti ya hasira na frustrations
Acha umbeaAkihojiwa EATV vanessa mdee amedai licha ya kuwa na kifua kikubwa bwana Jux kitandani alikua kama gogo.
Uzi tayari.
Huyu si alifikishwa polisi kwa tuuma za kula 'unga'?Ujinga kiwango cha lami, sijui watu wataacha lini kutoleana siri zao wakishaachana, mambo ya kishamba mbona alikaa nae kama hajui kitu??Je yeye anajijua kama yuko vzr kwa kila kitu na hana kasoro??Nimekadharau haka kadem kweli mbona mshikaji yeye kajibu kistaarabu tu
wamasai wamasai, dk 2 mbili tu wazungu hodiii.Amtafute huyu basi View attachment 1172373
🤣🤣Ananikumbusha Jay dee na Gardner.
Jay dee alikua anaongea shit sana hatimae Gardner akachoka akatoa moja tu[emoji3][emoji3]
Kumkojolesha, Jaydee akakimbilia kushtaki kwamba kadhalilishwa
Huyu binti mwenyewe si ndio anathibitisha ufedhuli wake sasa😄.Juma kamuumiza Sana huyu binti masikini halafu bado anajifanya mwema machoni mwa watu inauma sana kwa kweli, kamuacha mwenzake anaonekana fedhuli kwa stress ndo maana namuomba Sana Mungu niwe hai kipindi binti yangu anaanza mahusiano kiukweli
Maendeleo hayana chama mkuu.unawez
unawezaje kua na mpnz mwana ccm mkuu?
Huyu dingi angewakonalia apige 3some 😀Amtafute huyu basi
View attachment 1172373
hayo n maendeleo,ila mapnz lazm yawe na chama,ukiwa kada mtiifu nkijua hata mshariboko hausimamiMaendeleo hayana chama mkuu.