kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
vidole vyako tu mimi hoi bin taaban mbona haunitumii sasa kapicha.?Aibu za nini nawe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vidole vyako tu mimi hoi bin taaban mbona haunitumii sasa kapicha.?Aibu za nini nawe?
Mpumbavu anatoaje Siri za ndani, Jux akirudisha si ni mtafutano kitaa.
wewe ni jux?Jux naye atasema kuwa Vmoney anashimo na limepoa
Stress za mapenzi ni mbaya jamani, ila cha msingi ni mtu kujifunza kumove onRoho inamuuma kuona Jux kamove on na kifaa Cha Kithailand..kawa unfollow Hadi familia ya Jux na marafiki zake...
Tena uachwe bila taarifa haaah, utaimba haleluyaDedication... Kuachwa Kuachwa ni shughuli pevu
Point...Ujinga kiwango cha lami, sijui watu wataacha lini kutoleana siri zao wakishaachana, mambo ya kishamba mbona alikaa nae kama hajui kitu??Je yeye anajijua kama yuko vzr kwa kila kitu na hana kasoro??Nimekadharau haka kadem kweli mbona mshikaji yeye kajibu kistaarabu tu
Akihojiwa EATV vanessa mdee amedai licha ya kuwa na kifua kikubwa bwana Jux kitandani alikua kama gogo.
Uzi tayari.
ulikuwaga unawashikia chupi wakiwa wanabinjuana mkuu?Jux ni mtu tofauti sana .
Amevumilia mengi huyo vanessa ni mpumbavu hajatulia anajiona sana naalikuwa anamdharau jux anatembea na mastaa wakimarekani ila hajajua moja alipoteza nyota yake kama daimond alivyopoteza nyota yake .
Binadamu tumeumbwa kutotambua nyota yako unaenda kwa mikosi tu watu wasiokudhamini watu wasiokujali na unamtegemea asiyekuona unafaa.
Ndio maisha lakini vane baibai nyota yako.
Utaangalia mwa macho chote ulichovuna naye kinaliwa na mwingine isitoshe hicho kifua ulichokua unakilalia wakati umeshindwa jambo hakipo tena .
Ananikumbusha Jay dee na Gardner.
Jay dee alikua anaongea shit sana hatimae Gardner akachoka akatoa moja tu[emoji3][emoji3]
Kumkojolesha, Jaydee akakimbilia kushtaki kwamba kadhalilishwa