mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
huu ni umbea, lete ushahidiAkihojiwa EATV vanessa mdee amedai licha ya kuwa na kifua kikubwa bwana Jux kitandani alikua kama gogo.
Uzi tayari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu ni umbea, lete ushahidiAkihojiwa EATV vanessa mdee amedai licha ya kuwa na kifua kikubwa bwana Jux kitandani alikua kama gogo.
Uzi tayari.
Kama hii taarifa ni ya kweli then nilijua tu kuwa bi dada hajafurahia Juma ku move on, i hope she still love him as Jux does too ila anajikaza au kufanya yaishe kama hajali kumbe anajali. To speak against of your ex's cons au hata yasiyohusu majukumu yako ya kila siku na yenye vipaombele (mziki, biashara) na kusemea ya sirini ni (upungufu wa kinga rohoni) - UKIRO yaani ni ugonjwa mbaya sana. Unazalisha chuki, visasi, hasira za hovyo au visirani, sonona, kupunguwa mwili hata kuwa na maamuzi au tabia mpya za hovyo (kama kwa sasa anavyotoa picha au video za nusu utupu, sidhani kama ndio ilikuwa haiba yake tangu anaanza mziki) n.k.Akihojiwa EATV vanessa mdee amedai licha ya kuwa na kifua kikubwa bwana Jux kitandani alikua kama gogo.
Uzi tayari.
Duh kumbe 6 mkuu???
Kwa hawa hadi kuwa wanandoa it was too senstive kwa kweli, na kama wangepata watoto ingekuwa aibu sana kwenye zile drama zilizowekwa public. I think Gardner ana mtoto, that is sad. Ila Mungu huyu wa ajabu sana, watu wazima wanaelewana very soon it's a matter of time and calmness. The couple wako sawa sasa hivi kama hakijawahi tokea kitu hapo awali. It's real fruitful for such example. I hope Vannesa na Juma watakuwa sawa when times are right hapo baadae, kwa sasa ni vijana with too much EGO, PRIDE, CREDIBILITY, FAME, JEALOUS etc.Ananikumbusha Jay dee na Gardner.
Jay dee alikua anaongea shit sana hatimae Gardner akachoka akatoa moja tu[emoji3][emoji3]
Kumkojolesha, Jaydee akakimbilia kushtaki kwamba kadhalilishwa
Hahaha akibonga kuhusu hili atabugi sana, maana nilishawahi kutana na manzi fulani ambaye ameshawahi pita na Jux kitambo aisee hatokaa hamsahau mwamba. I can't wait for such nonsense!!bado hajamwambia ana kibamia
Ukorofi huu [emoji3]Hook(edited)
Mbaya zaidi kwa yule uliempendaaaa...
Wewe uko singleee, yeye ana demuu..
Pini sanaa...Pini sanaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jux ni mtu tofauti sana .
Amevumilia mengi huyo vanessa ni mpumbavu hajatulia anajiona sana naalikuwa anamdharau jux anatembea na mastaa wakimarekani ila hajajua moja alipoteza nyota yake kama daimond alivyopoteza nyota yake .
Binadamu tumeumbwa kutotambua nyota yako unaenda kwa mikosi tu watu wasiokudhamini watu wasiokujali na unamtegemea asiyekuona unafaa.
Ndio maisha lakini vane baibai nyota yako.
Utaangalia mwa macho chote ulichovuna naye kinaliwa na mwingine isitoshe hicho kifua ulichokua unakilalia wakati umeshindwa jambo hakipo tena .
iko na utamu eeeh 🤣🤣🤣Ukorofi huu [emoji3]
Hapigi miuno kama GwajiwiseMi nataka mnielekeze, mwanaume gogo kitandani,,anakuwaje,,
Ntajuaje kuwa huyu ni gogo,
Haha mwanaume gogo au mwanamke gogo,ni yule asikuwa na mbwembwe katika tendo la ndoa. Mfano hujiachia tu kila kitu mwenza wake awe ana shugulika mpaka mwisho. Hii inaweza kuwa mtu hana mazoea ya mambo hayo, au ujuzi wa kueleweshwa kabla, au makusudi pale mtu anakosa hamu na mwenzie kwahiyo hujiachia tu yaishe.Mi nataka mnielekeze, mwanaume gogo kitandani,,anakuwaje,,
Ntajuaje kuwa huyu ni gogo,
We jamaa bwana [emoji3][emoji3]iko na utamu eeeh [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikuwahi kuwaza kama kuna mwanaume gogo,, ile push and pull tu inamtoa kwenye ugogoHaha mwanaume gogo au mwanamke gogo,ni yule asikuwa na mbwembwe katika tendo la ndoa. Mfano hujiachia tu kila kitu mwenza wake awe ana shugulika mpaka mwisho. Hii inaweza kuwa mtu hana mazoea ya mambo hayo, au ujuzi wa kueleweshwa kabla, au makusudi pale mtu anakosa hamu na mwenzie kwahiyo hujiachia tu yaishe.
Kweli huyu dada kaishiwa SERA!!
Ila sio yeye, tatizo ni nature ya kabila lake....always ipo wazi, "wanawake wa KIPARE, wana matatizo....".
Anakua hawezi kujikunja,Mi nataka mnielekeze, mwanaume gogo kitandani,,anakuwaje,,
Ntajuaje kuwa huyu ni gogo,
Kwenye mifanoDiamond kaingiaje hapa?