Bafo anampendaSauti ya hasira na frustrations
Aisee arifu hawa dada zangu wa milimani ni habari nyingine ,
Kuna mmoja anamsumbua kaka yangu ,sijui anataka atombwe na kijiji kizima
Mjomba Hii Regly V Pesa Asiione Plz HahaHook(edited)
Mbaya zaidi kwa yule uliempendaaaa...
Wewe uko singleee, yeye ana demuu..
Pini sanaa...Pini sanaa
Vibaya mno chalii yangu ,mimi mwenyewe asingekuwa mke wa braza ningemkung'uta na asivyokuwa na akili angenipa kiroho safiHahaha anamaindi ukuni sana?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sina la kuongeza POINT .....
Hahaha unaenda kutafta changamoto au sio [emoji1]Mi namuunga mkono baharia pia, wanawake wakibongo wengi vichomi hasa hawa wanaoitwa wasanii...Wana mambo ya kipuuzi sana yani bora kukamata ngozi za kitimoto tu sahivi.
Hamna haja ya kuumiza vichwa na wabongo. Wakizingua tu Kenya au kwa hasira Sweden kabisa.
Hahaha akisoma hii comment anaweza jirusha ghorofani mzee tafadhali ifute [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ila akaamua kukaa naye muda wote huo! [emoji15]
Wapumbavu banaa!
Oooh my love asante kwa kuniita nimekuja..... Nilikuwa busy kidogo darling, am so sorry sikutokea mapema kwenye wito wakoNamtafuta mpenzi wangu zeshchriss wakuu, mkimuona mwambieni namtafuta.
Hahahah ana matatizo huyoVibaya mno chalii yangu ,mimi mwenyewe asingekuwa mke wa braza ningemkung'uta na asivyokuwa na akili angenipa kiroho safi
Sijui wana nini hawa
hahahhah sasa jeHahaha unaenda kutafta changamoto au sio [emoji1]
LHahaha akisoma hii comment anaweza jirusha ghorofani mzee tafadhali ifute [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Alichoniudhi huyu Jux nikushindwa kumpa mimba yule bibi kizee sijui nae ni kama Sependa hazinasi kwenye kuta au Jux hana risasimiaka 6 sio 3.
hawa mastaa wanachomoa sana mkuuJux naye miaka zaidi ya mitatu yuko naye kashindwa kumfanya huyu bint ateme teme mate.
V pesa bas bado anampenda jamaa kama alikua gogo miaka yote amekaa nae wa kazi gani sasa mambo mengine yanastaajabisha sana. Kutoleana shombo baada ya kuachana ni ungese wa hali ya juu.
mchele mchele huyo dogoWE jamaa vip?
Hakuna Cha wivu Wala Nini .hana upini wowoteni wivu tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utakapoingilia tu,hauta amin km huyo ni binti yako au jirani tuJuma kamuumiza Sana huyu binti masikini halafu bado anajifanya mwema machoni mwa watu inauma sana kwa kweli, kamuacha mwenzake anaonekana fedhuli kwa stress ndo maana namuomba Sana Mungu niwe hai kipindi binti yangu anaanza mahusiano kiukweli