Vanessa Mdee katika skendo kubwa ya kutumia madawa ya kulevya (Heroin)

Kwa wataalam huo mwili wa v.money jinsi ulivo anatumia powder kabisaaaa. Hakuna kificho hapo ... lakini naskia hata yule jamaa pale yanga naye pia.
mkuu hebu tupe kidogo kwa nini ukitumia hii kitu mwili unakongoroka, tupe uhusiano
 
Kwa ile statement yake ya instagram ni wazi huyo betina ni nyoka,atakuwa kaingizwa mkenge na msomi asiyegraduate huko china.
Hivi jux anasomea nini huko uchinani,udaktari au mbona hatuoni graduation mwaka wa nne sasa...
Alafu huyu sista wake fatmaeight5 na mmewe mo siwaelewi pia,wanapata wapi pesa hawa maana ni bata tu,mmh
 
Hii habari ya matibabu bure ni ni.chanzo cha kuwahamasisha vijana watumie unga wakiamini wakiathirika watahudumiwa for free wakati kiukweli wanaliingiza gharama tu taifa utadhani walipata ajari wakati wameingia kwa utashi wao tena kwa gharama.kubwa. Rehabilitation centers zitoze pesa tena ya maana kuwatibu watu hawa na dawa ziuzwe bei kubwa ili wajue gharama ya kujidunga huko mbeleni. Niliwahi kukuta watu pale mlimani city wanahamasisha uchangiaji kwenye kituo flani cha waathirika wa madawa niliwaambia pale pale kama kuna aliyedungwa kwa nguvu wamlete nimtunze otherwise hao wanaoingia kwa hiari na gharama zao wajibebe!
 
From Adam to Jesus, Muhammad, hakuna Mtume wa Mungu amewahi kuimba muziki.
Hata wanawake wema akina Maria /Mariam etc.

Kuimba ni matendo ya kishetani, that's why it makes you HI
...

Daudi alikua mpiga kinubi/zumari. Elizabeth alimuimbia Maria alipotembelewa nae. 'Wimbo' ulio bora wa Suleiman ni muziki/mashairi. Kwaya na kaswida ni muziki.

Umechemka mjomba.
 
Kumbe kuanzisha rehabilitation & sober centers ni bonge la dili siku hizi eeh?ngoja nifanye mchakato wa kuifungua moja kwanza,itaitwa TEKNOLOJIA REHABILITATION CENTER.
 
Kuvuta watavuta sana kubeba ni ngumu mana maisha ya mapunda huwa mazuri....cz nw bei ya trip itakua imepanda maradufu cku hizi wengi wamehamia kupeleka methadone Sauzi Hongkong n Macau kuingia n mzigo ni ngumu
Sijaelewa mistari mitatu ya mwanzo ulichoandika, halafu hii methadone si ndo inatibu mateja vp nayo ipelekwe kwa kificho?
 
Kama sio siri mbona unafanya siri? Jana nimesikitika kumuona Nando yuko vile leo V mane hebu mtaje
 
Tusi force point mkuu.
Itafahamika tu maana hata Chid Beenz alikuwa anabisha mpaka siku ile anaojiwa na Salama alikuwa anakuja juu kabisa Salama anampoza...

Nando alibisha....Ray C alibisha akakimbilia mpaka Kenya kuvuta kwa uhuru.

T.I.D mpaka Kesho anabisha....Q.chillah alibisha yalipomzidi akaenda mwenyewe kuomba msaada kwa Muhonda.

Young D alibisha kweli kweli...na wote hao walikuwa kuna watu kama wewe wanawatetea.

Ila kikubwa kuvuta unga ni kama kupanda mnazi uhani kwako ukiwa mdogo utafanya siri ila ukishakuwa utaipita nyumba urefu na kila mtu atajionea.
 

Nimekuelewa kabisa mkuu na asante kwa maelezo zaidi.

Nisichokubaliana na wewe ni huo uchangamfu unaosema wewe.
 
Young dee na,Vanessa ndi next bg social networks and midia kwa madawa na ndo more story kwa sasa social networks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…