Vanessa Mdee katika skendo kubwa ya kutumia madawa ya kulevya (Heroin)

Vanessa Mdee katika skendo kubwa ya kutumia madawa ya kulevya (Heroin)

Watu Wazima wanaacha shughuli zao wanamjadili mtu ambae Hana mpango nao
 
Hayana kificho km kweli tutajua tu ila kama kumwaribia jina lake sio vzuri.
 
Why daudi katika zaburi aliimba, and unasema from Jesus to mtume, ,tena bible inasema mwimbieni bwana kwa shangwe na vinubi, and when other factor remain constant, why msanii anatumia madawa, that's a logical question, na sio una generalized,
 
Asante sana mkuu
Ukweli kuhusu huyu mdada kutumia hii kitu nimewahi kusikia muda sana nadhani zaidi ya mwaka.
Ila kwakuwa ana pesa anatumia ule wa daraja la juu ni ngumu kumgundua kwa sasa,akianza kufulia tu ndipo ukweli utakapodhihiri.
Mbona ni wengi tu?Hata Wema nae yupo ktk list,ni kiasi cha muda tu mkuu.
Riama ally pia, yeye mpka bangii anavuta
 
Vijana wanaona Ngada ndio Ujanja...media wanawaonesha teenegers kuwa role model ni lazima awe msanii ambaye ana historia za abortion au drugs kupitia kipepeo na after school bash.

this thinng is serious guys...our culture have been distorted.

ngoja nipate lunch baada salat jumaa.
 
Yule msanii nyota anayejitahidi kujimarket kimataifa, Vanessa Mdee amedaiwa kujitumbukiza katika matumizi ya madawa ya kulevya aina ya Heroin.

Vanessa anadaiwa kuanza kusniff baada ya kujiingiza katika mahusiano ya kimapenzi na msanii mwenzake (jina kapuni) anayedaiwa kujihusisha na kuuza madawa hayo nchini China.

Hili wimbi la wasanii kujitumbukiza katika kujidunga madawa ya kulevya linaonekana kushika kasi sana nchini Tanzania huku sababu haswa ikikosekana.
akiimba mziki huwa nahisi ubongo wake umetulia. ila ukimuweka one to one interview, huwa sielewi kama ubongo wake upo mguuni au usoni. anasambaratika, anajifanya mmarekani, anajifanya amesoma kenya halafu anaongea kama mtu ambaye hana elimu kichwani kabisa, anajifanya yuko juuuuuuuu halafu hana point kabisa. hata kina dangote wasioenda shule huwa wanaongea mambo yenye akili na point sana, yeye hana point kama le mwiliz. alihojiwa siku moja na kituo cha tv kenya, anatia aibu tu, kwa umri wake haongei point, kama mlevi...ni kama mtu mwenye mapepeeeeeee na mwenye akili isiyotulia. hivyo hata kama havuti, hakika mimi wakisema anavuta hata kama sio kweli, ninaweza kuamini asilimia tisini. mapepe yale sio ya mtu mwenye akili ya kawaida....na kujifanya mmarekani. sijui hana washauri au ni pepe liko ndani yake hajipendei ? sijui ni nini? hatamanishi kusikiliza kabisa akiwa kwenye interview.
 
ukimwangalia usoni tu, kuna asilimia kubwa sana lisemwalo lipo.
 
Mkuu hapo naona chumvi imezidi,mtoto wa miaka 5 anajua mwanaume?[emoji15] [emoji15]


Mkuu sina sababu ya kuongeza chumvi! ! Kwa faida ya nani niseme uwongo!? Ukisia Wanasema uswahili kuna Vituko ndo kama hivyo!! Ngono imetawala sana kwa sasa katika vichwa vya binaadam wengi, hali ni mbaya kiasi kwamba ni ngumu hata kuelezea kwa maneno!!

**The best way I can describe the situation is....it's HELL ON EARTH.
 
Duuuh haka kaubuyu kanachoma kama pasi aiseeeeee sitamani iwe kweli jamani the way ninavo muelewa Vanessa duuuh mungu saidia iwe nikaubuyu ka waondoa stress Jf kasikokua na ukweli wowote atheeeeee
 
mtu na akili yake timamu hawezi kuwa mchangamfu kama kicheche au kindege vile. ni ajabu.
 
Back
Top Bottom