Vanessa Mdee na Rotimi waonesha sura za watoto wao

Vanessa Mdee na Rotimi waonesha sura za watoto wao

Kabsa,usimpe mtu moyo wako,asiyeona thamani yako.Japokua ni ngumu kuanza upya lakini ni bora utoke kwa maumivu makali ila kesho yako ni njema kuliko toxic relationships.Kudos kwa homegirl saivi anajilia mema ya nchi.
Mimi mwenyewe ni mfano hai, najilia mema ya nchi tu sasa hivi.

2024 wanawake tuseme hapana kwa mahusiano nyonya damu.
 
Kilichonivutia ni namna dada yetu alivyonawiri sana,kweli penzi la kweli tamu ukilipata unatakata tu pasipo hata kupaka lotions. VANESSA ni wakumshinda hips Ruby kweli?Kila lakheri kwao Mungu awasaidie wafunge hiyo ndoa yao mwakani kama walivyosema.
P'se girls epukeni kudate na mwanaume anayeitwa Juma watakunyonyoa ukose nuru kama kuku kishingo hahaha,
Penzi la kweli unahakika ndugu..?
Huyo mchaga Kuna asilimia nyingi kafata maokoto huko maana mshikaji ni billionea dada yetu kaacha namuziki kwa visingizio kuwa haulipi na unamgharimu!.. sijui kina ladyjaydee wasemeje!
 
Kama tunavyofahamu, Vanessa na mchumba wake Rotimi wamefanikiwa kupata watoto wawili, wa kiume Seven na wa kike Imani.

Kwa kitambo, Vanessa na mwenzi wake hawakuwahi kuwaonesha watoto wao katika mitandao kama ambavyo mastaa wengine wakubwa nchini na ulimwenguni kote hufanya.
Usiri ulikuwa mkubwa ambao ulitupa wakati mgumu ‘wambea’ na hata wenye mapenzi mema juu yao waliopenda kuyaona matunda hayo ya mapenzi yao.

Usiku wa kuamkia leo hii, hatimaye kitendawili kimeteguliwa na wapenzi hao kwa kuweka hadharani picha za familia yao hiyo yenye kuvutia machoni na kuleta tabasamu kwa tunaoamini ktk mapenzi ya ukweli na familia bora.

Mwana JF, kipi kimekuvutia zaidi?
Ladies, na sisi Mungu atuwekee mkono aliomuwekea Vanessa?

View attachment 2822936
Nilisikiaga ma don sehemu wanamsifia Vanesa kuwa fundi sana kitandani na mtundu mbaya
 
Back
Top Bottom