raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Ninachowakubali nigerians hawasahau tamaduni zao naona jamaa katupia hapo bonge la bazeeeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenyewe ni mfano hai, najilia mema ya nchi tu sasa hivi.Kabsa,usimpe mtu moyo wako,asiyeona thamani yako.Japokua ni ngumu kuanza upya lakini ni bora utoke kwa maumivu makali ila kesho yako ni njema kuliko toxic relationships.Kudos kwa homegirl saivi anajilia mema ya nchi.
Ya nini?Amelipa mahari?
Ya nini?Amelipa mahari?
Duuh kwani vipi unaona wivu akiwekewa auSafi sana hilo ndilo la kisema sio kuomba mkononaliowekewa vanessa na nyie muwekewe ni ngumu sana
Nilitaka kusema hivihivi huyo dogo anafanana na jux walahi...😂Hehehe huyo dogo mbona jux mtupu hadi masikio
Hapana sioni wivuDuuh kwani vipi unaona wivu akiwekewa au
Acha kusema nongwa nawe unajicho ona...😂Hizi nongwa zenu ndio zimesababisha wachelewe kutuonesha watoto wao.
na mimi naweza, natafuta mngoni mzuri mzuri mwenye kashepu...mshamba_hachekwi unaona wenzako wanavyojua kupenda hadi pisi imenawiri😂
nifah mdada nakujua unavyojua kupenda, unazama mzima mzima kabisa halafu baadae.............labda umebadilikaMimi mwenyewe ni mfano hai, najilia mema ya nchi tu sasa hivi.
2024 wanawake tuseme hapana kwa mahusiano nyonya damu.
Nishakuelewa! Na hiyo naijua😂😂na mimi naweza, natafuta mngoni mzuri mzuri mwenye kashepu...
Penzi la kweli unahakika ndugu..?Kilichonivutia ni namna dada yetu alivyonawiri sana,kweli penzi la kweli tamu ukilipata unatakata tu pasipo hata kupaka lotions. VANESSA ni wakumshinda hips Ruby kweli?Kila lakheri kwao Mungu awasaidie wafunge hiyo ndoa yao mwakani kama walivyosema.
P'se girls epukeni kudate na mwanaume anayeitwa Juma watakunyonyoa ukose nuru kama kuku kishingo hahaha,
ndo kwanza nimeanza🌚Nishakuelewa! Na hiyo naijua😂😂
Tusome December testndo kwanza nimeanza🌚
Watu wote wa west wako hivyo. Afadhali wao kwa kiasi kikubwa black identity ipo inashamiri kupitia tamaduni zao na majina.Ninachowakubali nigerians hawasahau tamaduni zao naona jamaa katupia hapo bonge la bazeeeeeee
Nilisikiaga ma don sehemu wanamsifia Vanesa kuwa fundi sana kitandani na mtundu mbayaKama tunavyofahamu, Vanessa na mchumba wake Rotimi wamefanikiwa kupata watoto wawili, wa kiume Seven na wa kike Imani.
Kwa kitambo, Vanessa na mwenzi wake hawakuwahi kuwaonesha watoto wao katika mitandao kama ambavyo mastaa wengine wakubwa nchini na ulimwenguni kote hufanya.
Usiri ulikuwa mkubwa ambao ulitupa wakati mgumu ‘wambea’ na hata wenye mapenzi mema juu yao waliopenda kuyaona matunda hayo ya mapenzi yao.
Usiku wa kuamkia leo hii, hatimaye kitendawili kimeteguliwa na wapenzi hao kwa kuweka hadharani picha za familia yao hiyo yenye kuvutia machoni na kuleta tabasamu kwa tunaoamini ktk mapenzi ya ukweli na familia bora.
Mwana JF, kipi kimekuvutia zaidi?
Ladies, na sisi Mungu atuwekee mkono aliomuwekea Vanessa?
View attachment 2822936