Vanessa Mdee na Rotimi waonesha sura za watoto wao

Vanessa Mdee na Rotimi waonesha sura za watoto wao

🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sanaaaaaa.

Ulichopitia huwa anakipitia, kuna siku anakutanaga na hadi PM 7 halafu mada tofauti.
Sema mi nae ni team kuchat hivyo tunaenda sawa.
Hapo akijibu short ni msala

Mkimaliza mada mda wa kuagana inaibuka nyingn

Mnachart jambo flan Kuna lingine linaibukia humo mpaka jioni upo hoy sana 🙌🙌🙌🙌
 
Hapo akijibu short ni msala

Mkimaliza mada mda wa kuagana inaibuka nyingn

Mnachart jambo flan Kuna lingine linaibukia humo mpaka jioni upo hoy sana 🙌🙌🙌🙌
Dah kweli una experience maana huwezi kujua haya hivihivi.

Ukitumiwa gazeti unajipinda kujibu gazeti, hakuna kujibu short unakata stim.
Kuna siku huwa tunachat kutwa nzima hadi usiku na vya kuongea haviishi! Lols
 
Dah kweli una experience maana huwezi kujua haya hivihivi.

Ukitumiwa gazeti unajipinda kujibu gazeti, hakuna kujibu short unakata stim.
Kuna siku huwa tunachart kutwa nzima hadi usiku na vya kuongea haviishi! Lols
Ndo maana nakwambia namuonea huruma huyo jamaa, mara mia mwenye demand ya hela ukimpa anatulia Nyie wa mda apana Kwa kwel
 
Ndo maana nakwambia namuonea huruma huyo jamaa, mara mia mwenye demand ya hela ukimpa anatulia Nyie wa mda apana Kwa kwel
Hawa wanaohitaji muda ndio wenye mapenzi ya kweli sasa, wanaohitaji pesa ndio hawa kila siku wanalalamikiwa na wanaume kwamba hawana mapenzi ya kweli, tatizo hamueleweki mkipendwa shida msipopendwa napo shida duuh
 
Kama tunavyofahamu, Vanessa na mchumba wake Rotimi wamefanikiwa kupata watoto wawili, wa kiume Seven na wa kike Imani.

Kwa kitambo, Vanessa na mwenzi wake hawakuwahi kuwaonesha watoto wao katika mitandao kama ambavyo mastaa wengine wakubwa nchini na ulimwenguni kote hufanya.
Usiri ulikuwa mkubwa ambao ulitupa wakati mgumu ‘wambea’ na hata wenye mapenzi mema juu yao waliopenda kuyaona matunda hayo ya mapenzi yao.

Usiku wa kuamkia leo hii, hatimaye kitendawili kimeteguliwa na wapenzi hao kwa kuweka hadharani picha za familia yao hiyo yenye kuvutia machoni na kuleta tabasamu kwa tunaoamini ktk mapenzi ya ukweli na familia bora.

Mwana JF, kipi kimekuvutia zaidi?
Ladies, na sisi Mungu atuwekee mkono aliomuwekea Vanessa?

Maoni yangu: Vanessa ni mfano hai wa 'bongo bahati mbaya'. Kila kitu chake ni levels.
Fashion wise, anavyoishi bongo hii tulikuwa tunamuonea tu.

Keep on smiling my girl, keep shining the World needs your light.
I'm happy for you Vee.

View attachment 2822936
Vanessa Mdee ni Mtoto wa Chuga, mjanja sio boya

Exposure ipo pia

Big Up kwa Vanessa & Rotimi kwa lifestyle yao
 
Kilichonivutia ni namna dada yetu alivyonawiri sana,kweli penzi la kweli tamu ukilipata unatakata tu pasipo hata kupaka lotions. VANESSA ni wakumshinda hips Ruby kweli?Kila lakheri kwao Mungu awasaidie wafunge hiyo ndoa yao mwakani kama walivyosema.
P'se girls epukeni kudate na mwanaume anayeitwa Juma watakunyonyoa ukose nuru kama kuku kishingo hahaha,
Kina Juma tumekukosea nini?
 
Kama tunavyofahamu, Vanessa na mchumba wake Rotimi wamefanikiwa kupata watoto wawili, wa kiume Seven na wa kike Imani.

Kwa kitambo, Vanessa na mwenzi wake hawakuwahi kuwaonesha watoto wao katika mitandao kama ambavyo mastaa wengine wakubwa nchini na ulimwenguni kote hufanya.
Usiri ulikuwa mkubwa ambao ulitupa wakati mgumu ‘wambea’ na hata wenye mapenzi mema juu yao waliopenda kuyaona matunda hayo ya mapenzi yao.

Usiku wa kuamkia leo hii, hatimaye kitendawili kimeteguliwa na wapenzi hao kwa kuweka hadharani picha za familia yao hiyo yenye kuvutia machoni na kuleta tabasamu kwa tunaoamini ktk mapenzi ya ukweli na familia bora.

Mwana JF, kipi kimekuvutia zaidi?
Ladies, na sisi Mungu atuwekee mkono aliomuwekea Vanessa?

Maoni yangu: Vanessa ni mfano hai wa 'bongo bahati mbaya'. Kila kitu chake ni levels.
Fashion wise, anavyoishi bongo hii tulikuwa tunamuonea tu.

Keep on smiling my girl, keep shining the World needs your light.
I'm happy for you Vee.

View attachment 2822936
We ni Msukuma sio....

We mbona uko mshamba hivii!!??
 
Back
Top Bottom