Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu ni maokoto tu, we ndoa na msanii wa bongo na msanii wa ulaya ungechagua lipi? 🤣Kweli unaweza kudate na Mwanaume ama Mwanamke hata miaka 30, kama hajaona Future kwako hawezi kukubali uwe akuzalie ama umzalishe.
Pamoja na kudate na Jux miaka zaidi ya 7 lakini hakuweza kumbebea hata Mimba ya Uongo, lakini kwa Rotimi amedate naye mwaka 1 na Mimba Juu 🙌
Ni sahihi MkuuIshu ni maokoto tu, we ndoa na msanii wa bongo na msanii wa ulaya ungechagua lipi? 🤣
hmm, kwenye maokoto hakuhitaji akili ya kuona mbali, ukigoogle Rotimi's net worth majibu chapNdiyo maana wanasema Mwanamke ana akili ya kuona mbali mara 2 zaidi ya Mwanaume
Mbona mimi ninalo jamani? Usimalize maneno yote Mkuu, watu wanayaishi mapenzi ya ukweli kabisa hapahapa bongo.Penzi kama hili wadada wa kibongo wataendelea kulitazama katika picha tu maana wao ni Beuty with no brain
Hahahaha.....................umesema sahihi Mkuu.hmm, kwenye maokoto hakuhitaji akili ya kuona mbali, ukigoogle Rotimi's net worth majibu chap
bibie anasitisha matumizi ya P2 papo hapo
Yule ni mpare sio mchagaLaiti ungeijua personality yangu hiyo Aya ya kwanza ungeifuta!
Wakati nafungua Uzi sikuwa hata najua kama Vanessa na huyo mshikaji Wana watoto wawili na sijui kama waligomea kutoa picha za watoto wao na hata Lile wazo la kusema nitakuwa namashaka na mtoto yoyote!.. baada yakuangalia picha ndio nikaona mfanano kabisa ni ikanijia picha ya mshikaji! Haihitaji jitihada kubwa kuona mfanano jicho lakawaida kabisa linatosha!. But anyway mambo yao ni yakwao sipendi kuchukua muda sana kwenye mambo ya watu kile kiliwe watajua wenyewe ila mwamba ajue anadate na mchaga ..[emoji1787]
Mmmmh,mm siwezi utaniacha bureDah kweli una experience maana huwezi kujua haya hivihivi.
Ukitumiwa gazeti unajipinda kujibu gazeti, hakuna kujibu short unakata stim.
Kuna siku huwa tunachat kutwa nzima hadi usiku na vya kuongea haviishi! Lols
Mama yake nae ni famous mjini?Huku maza kauza nyumba 600m sijui shida ni nini maza nyumba iko sehemu nzuri
Si wanasema jux kwao mambo safi ila ndio hivyo hakuona future kwa jux,ni kama yule mrs Mengi alikua anadate na yule mshikaji wa Moro wa kuitwa mb doggy but hakuona future kwake akajiongeza kwa MengiIshu ni maokoto tu, we ndoa na msanii wa bongo na msanii wa ulaya ungechagua lipi? [emoji1787]
Ramli chonganishi hiziHehehe huyo dogo mbona jux mtupu hadi masikio
Sio mchaga ni mpareLaiti ungeijua personality yangu hiyo Aya ya kwanza ungeifuta!
Wakati nafungua Uzi sikuwa hata najua kama Vanessa na huyo mshikaji Wana watoto wawili na sijui kama waligomea kutoa picha za watoto wao na hata Lile wazo la kusema nitakuwa namashaka na mtoto yoyote!.. baada yakuangalia picha ndio nikaona mfanano kabisa ni ikanijia picha ya mshikaji! Haihitaji jitihada kubwa kuona mfanano jicho lakawaida kabisa linatosha!. But anyway mambo yao ni yakwao sipendi kuchukua muda sana kwenye mambo ya watu kile kiliwe watajua wenyewe ila mwamba ajue anadate na mchaga ..[emoji1787]