Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Kwahiyo kumbe ulikua unawakebehi kiana Ke wenzio. Yan kama unataka kumbe hutaki? πMkuu, tayari Mungu ameniwekea mkono kwa mwanaume bora.
Sikutaka kujikweza, ila nimebarikiwa zaidi ya ninavyoweza kueleza.
hizo hipsi hata Mloganzila siku hiz zinapatikanaVANESSA ni wakumshinda hips Ruby kweli?
Hata wanaume tulishashtuka siku hiz ku date na nyie akina mwajuma ndala ndefu, vimangala.P'se girls epukeni kudate na mwanaume anayeitwa Juma watakunyonyoa ukose nuru kama kuku kishingo hahaha,
Mwezi April tutatimiza miaka 45 ya kuwa pamoja πBibi upo nae mwaka wa ngapi babu? Tupe nasaha jinsi ya kuishi nao hawa wasiojua hata kusonga ugali siku hizi....
Walomtangulia walikataa kuchangia,na yeye ameuchuna.Amelipa mahari?
π€£Tatizo nauli BabuNipo Mjukuu, shughuli za shamba zimenibana kidogo π
Ulisema ungekuja kumsalimia Bibi yako na Mimi, tunaona kimya kimepitaπ€
Ngoja niuze Mbuzi mmoja nikutumie Mjukuu, utaenda kwenye ofisi ya Waziri Mkuu Kuna Kijana wa nyumbani nitamwagizaπ€π€£Tatizo nauli Babu
Huku mjini Hali SI shwari kabisa
π€£π€£π€£Kabisa Babu fanya hivyoNgoja niuze Mbuzi mmoja nikutumie Mjukuu, utaenda kwenye ofisi ya Waziri Mkuu Kuna Kijana wa nyumbani nitamwagizaπ€
Nitakutumia na hela uniletee na Kiko zangu, nina muda mrefu zimeniishia ππ€£π€£π€£Kabisa Babu fanya hivyo
Sawaaa babuuπ€£Nitakutumia na hela uniletee na Kiko zangu, nina muda mrefu zimeniishia π
Sawa Mjukuu, msalimia Mkwe wangu huko Mjini πSawaaa babuuπ€£
WaooooooMwezi April tutatimiza miaka 45 ya kuwa pamoja [emoji120]
Siri ni Moja Mkuu, kujifanya Bubu
Mkijidai Kila mmoja yupo juu ya mwenzie hamtachukua hata Mwaka mtakuwa mmeshagawana Vyumba
Shukrani sana ππWaoooooo
Masha Allah
Hongera
Si mzazi mwenzie anapesaSasa Mkuu Mbona mwanae anaporomosha majumba hapa Bongo tokea awe na shemeji Rotimi unasemaje pesa hamna?
Huku mjini nimeamua kuwa single BabuSawa Mjukuu, msalimia Mkwe wangu huko Mjini π
Kama ndivyo, kesho tutaitisha kikao cha Wazee ili tujadili na kupokea mahari Yako iliyoletwa na Kijana wa nyumba ya jirani.Huku mjini nimeamua kuwa single Babu
Hawa vijana wenu hawaeleweki
Ngoja kwanza π π π
π€£π€£π€£Naona huko ndo Kuna wanaume huku marioo ndo wengiKama ndivyo, kesho tutaitisha kikao cha Wazee ili tujadili na kupokea mahari Yako iliyoletwa na Kijana wa nyumba ya jirani.
Usituangushe Mjukuu π
Nimewahi kumsikia Msanii anaitwa Marioo huko DSM, ina maana huyo Marioo ana wadogozake wengi hivyo Mjini ππ€£π€£π€£Naona huko ndo Kuna wanaume huku marioo ndo wengi
Wanatuita mashangazi
π€£π€£π€£π€£Sshv Mario wapo wa kutisha...Nimewahi kumsikia Msanii anaitwa Marioo huko DSM, ina maana huyo Marioo ana wadogozake wengi hivyo Mjini π
Na how comes wakuite Shangazi wakati hujafika hata miaka 25 Mjukuu
Fanya uje tu Kijijini uolewe na huyu mtoto wa jirani, kwanza kwao Wana ng'ombe nyingi pamoja na mashamba π€
Mambo ya haki sawa 50/50 hayo ππ€£π€£π€£π€£Sshv Mario wapo wa kutisha...
Wanataka mwanamke uwe na hela ndo wanakuoa
π€£π€£π€£Mambo ya haki sawa 50/50 hayo π
Mbona jukumu la Mwanamke linajulikana tangu Edeni kuwa ni kuzaa na Mwanaume Kula Kwa Jasho.
Mimi nitahudumia Kila kitu ila utanizalia asubuhi na Mchana.
Ilikuwa formula yetu Wazee miaka ile π€