Vanessa Mdee na Rotimi Watarajia kupata Mtoto wa Kiume

Vanessa Mdee na Rotimi Watarajia kupata Mtoto wa Kiume

jukusi ulikwama wapi baharia kale ka demu kako vizuri sana kichwani au mi ngongingo ilikuchanganya kisa vee anako kadunchu yule mnigeria kapata mke aisee vee kichwani bonge la dhahabu.
 
Hapo jana msanii kutoka Tanzania Vanessa Mdee a.k.a Veemoney alipost katika account yake ya Instagram Kuwa anamimbi na kusema anatarajia kujifungua mtoto wa kiume.

Hivyo kulingana na post hiyo inasemekana Vanessa Mdee tayari kashajifungua mtoto wa kiume hivyo ndio maana alisema anategemea mtoto wa kiume hivyo ukiconnect dots utajua tayari Vanessa Mdee anamtoto.

Na hii imekuwa kama tabia ya watu maarufu kuzaa Kwanza ndipo kupost Kuwa wanatarajia kuzaa
 
2019 inabidi mtoto mpate angalau miaka 4 mbele.
 
Hapo jana msanii kutoka Tanzania Vanessa Mdee a.k.a Veemoney alipost katika account yake ya Instagram Kuwa anamimbi na kusema anatarajia kujifungua mtoto wa kiume.

Hivyo kulingana na post hiyo inasemekana Vanessa Mdee tayari kashajifungua mtoto wa kiume hivyo ndio maana alisema anategemea mtoto wa kiume hivyo ukiconnect dots utajua tayari Vanessa Mdee anamtoto.

Na hii imekuwa kama tabia ya watu maarufu kuzaa Kwanza ndipo kupost Kuwa wanatarajia kuzaa
Teknolojia imekua,unaweza kujua jinsia ya mtoto hata kabla ya kuzaliwa
 
Hongera zake kawasha moto hadi kime elewekaa.

Maana mdogo wangu Jux bado anang'ata ulimi.Na kulegeza midomo na sauti kashindwa kumtandika Dem vanesa Mkuyengee wakuelewekaa.

Any way... Ndo life la mtu.
Inamaana jux alikuwa hajui kuipiga mbususu analeta usharobaro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom