Vannessa anatisha!! Mwanamziki gan wa kike Tanzania umeona nyimbo yake inapigwa TRACE.MTV au Channel? Sidhani kama Jdee nyimbo zake zimewahi kupigwa huko zaidi ya East Africa tu.
Mkuu nimetaka kujua uzuri wa wimbo..haijalishi ni mipasho au vipi..unachotaka kusema bifu ndo limefanya nyimbo ionekane nzuri au??..hiyo yahaya hadi watt wadogo walikuwa wanaimba..nao hao walikuwa wanajua wimbo katungiwa mtu fulani?
Jide ni chuma cha reli, vannesa ajipange tu kutoka kivyake ila level za jide atazisikia kwenye bomba, wamekuja wasanii wenye sauti kama kasuku ila wamedunda kwa jide, inshort wamuache kabisaaaa
Tatizo mnakariri historia na hamjui kutofautisha wakati uliopita,uliopo na ujao.
Siku hazigandi(hayo maneno yake jide)
Kwa kumwambia tu mleta mada,mimi siongei kiushindani hapa ila Lady Jaydee ama komando kama anavyojiita kamuacha miles 1,000,000,000,000,000,000,000,000 Vanessa Mdee.
Tangua aanze kufanya muziki mwanzoni mwa miaka ya 2000 Jide hajawahi kukosa kuchukua tuzo.
Kitu kimoja ni kwamba,pamoja na uchezaji wake wote mpira na kuvunja rekodi mbali mbali kwa ufungaji magoli Lionel Messi,lakini bado Pele mfalme wa soka duniani anakwambia kuwa endapo Messi atatwaa makombe matatu ya dunia na kufunga magoli 1200+ hapo ndio atazungumza na si sasa.
Vanesa hajachukua tuzo hata moja tangu aanze muziki,si hapa nyumbani wala nje ya mipaka yetu. Huwezi kumuweka kundi moja na jide.
Anajua lakini hajafika,maybe siku jide afe (Mungu amuepushe)...
"Nlikuwepo":bolt:
Jide ni chuma cha reli, vannesa ajipange tu kutoka kivyake ila level za jide atazisikia kwenye bomba, wamekuja wasanii wenye sauti kama kasuku ila wamedunda kwa jide, inshort wamuache kabisaaaa
Kwan bila bifu huo wimbo angeutunga?
Kama ndo hivyo sidhani kama ni sahihi..ukinambia bifu la clouds limemweka juu kimziki nashindwa kuelewa boss..wote tunajua impact ya clouds kwenye music industry bongo..sasa ukinambia kubaniwa kwa jide na clouds fm(mabingwa wa kupiga promo ambao wanaweza kukuaminisha kuwa nyeusi ni nyeupe na ukaamini) ndo kumemfanya awe juu kimziki ntaitaji maelezo kidogo..nwei labda nikubaliane na ww kwa muda kuwa bifu la juzi kati limembusti,ila Jay dee amekuwa akifanya vizuri toka kitambo sana..huko nyuma nini kilikuwa kinambusti??
Hizo nyimbo ni matokeo ya bifu hivyo huwezi kuzitenganisha na bifu. Me #kende nimemuelewa. Ni kuwa kabla ya hizo nyimbo 2 jide ashaanza kusahaulika kwenye game mpaka alipoingia kwenye bifu akapata cha kuimba... zaid alikua akipiga live band kama akina Banana na TID pale Nyumbani Loungh. Baada ya Nyimbo hizo Mbili za Mipasho kuwananga SebaMaganga,Ruge na Kusaga keshatoa nyingine kama 3 lakini hazijahit. Hata hizo live band zimefulia kwakua hana jipya kila ukienda pale MOG pamenyauka mda wote monday hadi sunday. Hata wasanii wenzie wanamkimbia.
Ni juzi tu watu walijitahidi kuhudhulia kwan wengi walikua Team Kiba.
Vanessa Toka alipochomoka na kwenye featuring ya ommy mpaka wa leo anazidi kupanda kwanini tusiseme kwa sasa kamfunika jayd?
Jide hivi sasa kabaki u-legendary ila kimziki v kamfunika. Tatizo bongo tuna kasumba ya kukariri historia na kuifanya ionekane iko hai muda wote.
Mkuu nimetaka kujua uzuri wa wimbo..haijalishi ni mipasho au vipi..unachotaka kusema bifu ndo limefanya nyimbo ionekane nzuri au??..hiyo yahaya hadi watt wadogo walikuwa wanaimba..nao hao walikuwa wanajua wimbo katungiwa mtu fulani?
Nikupeleke mpulanga talata, sumu kwetu ni talaka, bongo to jos palapa... Nimeuelewa sana wimbo wa kinyamwenga, madude yakuskiza kwenye ndinga yamekuwa hadimu sana bongo thanks kwa vmoney kutupa kitu kikali kama hiki.
Jide aendelee kupiga ramli za kupata mume, atuache kwanza tupate burudani.