Mi sio mshabiki wa ally kiba kabisa na pia simpangii mtu kumpenda au kumchukia... Lakini mnakosea sana mihemuko yenu ya kwenye siasa mnapoileta kwenye Muziki...
Kiba ni msanii anafanya kazi yake, hawezi akaacha mamilioni ya Pesa ambayo yanaweza yasitokee kwa miaka mingi ijayo kisa tu ushabiki uchwara ambao unamfanya mpaka leo asiwe amejenga au kumiliki nyumba(rejea kisa cha kutimuliwa kwenye ile nyumba)..
Watu wa Ukawa mnao msemo wenu kuwa mnatweza kumtumia hata shetani kuingia ikulu, basi waacheni na hawa wasanii wetu wabongo wawatumie hata hao shetani kupata riziki zao, maan huu ndio msimu wao wa mavuno jamani ..
Kingine mpunguze UMIMI.... Sio kila mnachokitaka nyie mtegemee kila mtu atakifanya, kukipenda, kukishabikia... This is a Democratic Country