[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji86] [emoji86] [emoji86]ndio..ona binti mwingine aliezaliwa na tanzania na kwenda kusomea marekani kama vanessa[emoji116] baada ya graduation wazaz wake na familia wakamwandalia kaparty ka kumpongeza..hapo akiwa na baba mzazi(mh abbas mtemvu) na mamake mzazi ambae alikua diwani..
View attachment 496813
hawa ndo wanasababisha wadada huku mtaani waanze kupaka mikorogo...waambie wainame wapige picha makalio yao halafu watume humu tulinganishe tuone kasoro alonayo vanessaSafari Bado ni ndefu sana.Labda waseme kwa hivyo anavojiweka kama kikaragosi ila sio kwa ajili ya weusi wake.
Hivi hiyu ana babake mzazi kweli.?
Maana kama baba ndo anaona picha hizo eti msanii.!
Duh..asavari mi wangu ni msanii wa nyimbo za asiri.[emoji12]
Kalipwa $ 50,000 kwa dk 30...hata baba yake angekuwepo sio wale wanatoa tigo kwa ajili ya iphonesHivi baba ake bado yuko hai?
Duuu kama mchezangoma za kienyeji?Vanessa mdee kila siku anakuja na style mpya ya mavazi ya stegini
Akiwa uko nigeria alitupia kivazi kama cha beyonce akisubiri kupanda stegini
View attachment 496702View attachment 496703
Ila mshabiki hawapitwi na kitu wengi wakimshambulia rangi ya makalio yake
Na sketi nyekundu[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji86] [emoji86] [emoji86]
Kweli dunia imevaa chupi.!
watu wanachuki sijawahi ona....dasa hizi lawama za mskalio meusi kama lami zinatoka wapi??huo weusi ni upi wa kumsimanga hivo..hiyo ni rangi yake halisi na kama usoni ni make up.
waswahili dawa yao kuwapuuza tu.
Ndo ushangae sasa... Unafiki tuuu umetujaaaWengi mmemponda kwa vile ni mweusi na ana matako meusi.Hivi mtu mweusi atakuwa na matako meupe?
Njaa hii inazidi kuwashusha utu wao Dada zetu muda huohuo wanapoteza muda kupiga kelele "wanawake hatuheshimiki"Vanessa mdee kila siku anakuja na style mpya ya mavazi ya stegini
Akiwa uko nigeria alitupia kivazi kama cha beyonce akisubiri kupanda stegini
View attachment 496702View attachment 496703
Ila mshabiki hawapitwi na kitu wengi wakimshambulia rangi ya makalio yake
Ngoma za kanda ya ziwa.Matanda...Duuu kama mchezangoma za kienyeji?
fashion zitawaua watu jaman
Kuna wasanii wa nyimbo za X siku hizi kak.Hivi hiyu ana babake mzazi kweli.?
Maana kama baba ndo anaona picha hizo eti msanii.!
Duh..asavari mi wangu ni msanii wa nyimbo za asiri.[emoji12]
Tukalio tuna kama usugu fulaniHili nalo ni vazi au ni marapurapu?
Mihadarati ni noumer aisee!Vanessa mdee kila siku anakuja na style mpya ya mavazi ya stegini
Akiwa uko nigeria alitupia kivazi kama cha beyonce akisubiri kupanda stegini
View attachment 496702View attachment 496703
Ila mshabiki hawapitwi na kitu wengi wakimshambulia rangi ya makalio yake
Sijui aliyewaambia kuwa ukianika mwili wako nje ndipo utakuwa na mvuto ni nani !!!!
Kafupi hadi kanabinuka kutengeneza umbo lakini wapi na Makalio yalivyo meusi Kama masalia ya Lami