Hela kweli ni laaana ya mwisho.......kuonyesha kote makalio yake hayo yalokomaa kisa hela na usupa staaVanessa mdee kila siku anakuja na style mpya ya mavazi ya stegini
Akiwa uko nigeria alitupia kivazi kama cha beyonce akisubiri kupanda stegini
View attachment 496702View attachment 496703
Ila mshabiki hawapitwi na kitu wengi wakimshambulia rangi ya makalio yake
Dah ta.ko jeusi kama rangi ya shaba ranks
Nafikiri siku atakayo onyesha nywele zake labda ccm itakuwa imeondoka madarakani.Yanakera hayo manywele
Jeus alina mzukaYupo Natural....
Nimependa alivyo
Mzuka, uzuri, ladha..hizo ni relative term...Jeus alina mzuka
La kijani lingekuwa poa Sanaa [emoji4][emoji4][emoji4]Comments kama hizi ndo zinafanya wadada wakose confidence na waanze kujichubua na wakijichubua ili wawe weupe mnawaponda pia dah! Ni mwafrika ulitaka awe na tako rangi gani?!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Vanessa mdee kila siku anakuja na style mpya ya mavazi ya stegini
Akiwa uko nigeria alitupia kivazi kama cha beyonce akisubiri kupanda stegini
View attachment 496702View attachment 496703
Ila mshabiki hawapitwi na kitu wengi wakimshambulia rangi ya makalio yake