yuleyulenimewachokaa
Senior Member
- Nov 8, 2014
- 146
- 32
kushakucha kutoana akili
Hapana mkuu wewe ni mtu wa utani sana ujawai kua serious
We ni mwanaume!!!!!hata wanaume wembamba ni hivyo hivyoo
Mi mwanamke binamu halafu nina nyama za kutosha tu.
Mbona umekataa kuniambia nimekupm kimyaa,niambie basiu nipo gizani u know
Binamu nawe mpana ka pazia la sinema,umeenda mpaka pm!!nimekujibu mwaya.
Nakuja harakaaaaa
Ooook my diaa nimekupataaaa😀😀😀😀
Yani wewe shemeji yangu msukuma ana tabu,umbea huu uishie humuhumu.
Ni wa humu humu huo umbeaa,,,huku nyumbani atanipiga risasi ya ta.ko
Hahahahahaaaa haki ya mama ulemae ta*ko moja sipati picha..
Teheee aliulizwa kama kweli alifanya ayo mambo akakana, eti wenzie walimtengenezea skendo ili atolewe ayeiyaaaBora angekuwa mstaarabu tu maana anavyoleta pozi wakati watu wanamdharau?Yani kajitia aibu halafu bado anajishebedua mbele za watu?mfyuuuuuu
Ufe kwa presha kwa mtu unaemuona kwenye tv?
katika kila bango la swichi oni lenye picha yake nawe weka bango lako lenye picha yako halafu kuwe na bonge la kopa lililotobolewa na mshale katikati na kuvuja vijidamu...
Shikamoo dada Charty!