warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Akiwa anahojiwa na jarida moja la huko nchini Kenya Vanessa Mdee, afunguka mengi ambayo hajawahi kuyasema sehemu nyingine yeyote ile, na kwa wengi wanaomfahamu mkali huyu wa anayezidi ku make headlines na single yake ya "hawajui", watabaki midomo wazi kwa vile ambavyo walikuwa hawavijui kabisa kuhusu mwanamuziki huyu kutoka Tzee.
Moja ya mambo ambayo vanessa huwa hafanyi kabisa mbali na kuwa mwanamuziki, mtangazaji na mwanaharakati ni kupika, Vanessa alifunguka na kusema hata akiwa nyumbani kwake ishu nzima ya kupika haimjii akili kabisa.
Tofauti na wanawake wengi wa afrika, hii ishu ni moja kati ya vitu vilivyotokea kuwashangaza wapenzi wengi na wadau wanao mzimia Vanessa.
Siku alipotoa hit single yake ya "hawajui", Hii ni moja ya single aliyoitoa kwa watu ambao walikuwa hawamkubali hasa baada ya maneno yao kuzidi kusema kuwa Vanessa hakustahili tuzo ya Kilimanjaro Music Awards aliyoipokea na wengine kusema hakuwa tayari kupokea tuzo hiyo, jambo hili lilimhuzunisha sana Vanessa, hii ilimsukuma Vanessa kuandika kuhusu watu wale ambao walikuwa awamkubali(Haters), na kutoa kitu hiki kinachozidi ku-make headlines kila siku.
Vanessa alifunguka na kusema kuwa umaarufu kama wake unakuja na faida zake mbali na kuwa na vikwazo vingi katika kazi, moja ya faida zake ni kuwa huwa mara nyingi hapangi foleni anapoenda mahali, alizidi kufunguka na kusema siku moja aliwahi kushikwa na polisi barabarani kwa kutofunga mkanda akiwa anaendesha, polisi alivyofika pale Vanessa aka-smile tu na kumuomba msamaha na officer yule akabidi amuachie tu.
Mbali na kufunguka kote huko Vanessa anasisitiza kuwa ni vizuri kwa mtu wa kutokata tamaa katika ndoto zako.
Moja ya mambo ambayo vanessa huwa hafanyi kabisa mbali na kuwa mwanamuziki, mtangazaji na mwanaharakati ni kupika, Vanessa alifunguka na kusema hata akiwa nyumbani kwake ishu nzima ya kupika haimjii akili kabisa.
Tofauti na wanawake wengi wa afrika, hii ishu ni moja kati ya vitu vilivyotokea kuwashangaza wapenzi wengi na wadau wanao mzimia Vanessa.
Siku alipotoa hit single yake ya "hawajui", Hii ni moja ya single aliyoitoa kwa watu ambao walikuwa hawamkubali hasa baada ya maneno yao kuzidi kusema kuwa Vanessa hakustahili tuzo ya Kilimanjaro Music Awards aliyoipokea na wengine kusema hakuwa tayari kupokea tuzo hiyo, jambo hili lilimhuzunisha sana Vanessa, hii ilimsukuma Vanessa kuandika kuhusu watu wale ambao walikuwa awamkubali(Haters), na kutoa kitu hiki kinachozidi ku-make headlines kila siku.
Vanessa alifunguka na kusema kuwa umaarufu kama wake unakuja na faida zake mbali na kuwa na vikwazo vingi katika kazi, moja ya faida zake ni kuwa huwa mara nyingi hapangi foleni anapoenda mahali, alizidi kufunguka na kusema siku moja aliwahi kushikwa na polisi barabarani kwa kutofunga mkanda akiwa anaendesha, polisi alivyofika pale Vanessa aka-smile tu na kumuomba msamaha na officer yule akabidi amuachie tu.
Mbali na kufunguka kote huko Vanessa anasisitiza kuwa ni vizuri kwa mtu wa kutokata tamaa katika ndoto zako.