Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
Hawa ndio huwa hawaolewi na wakiolewaa housegirl lazima ammiliki mume wakee
Umeona eeeeh mwanamke jiko sio kila siku unamlisha mumeo vyakula vya visivyoeleweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndio huwa hawaolewi na wakiolewaa housegirl lazima ammiliki mume wakee
Hajui kupiga wala kupiga umbea mtoto wa watu, ila angekuwa mbea angependeza
Na kupika pia hajuii hata kitandan atakua hovyo piaaa (MWANAMKE NI JIKONI) wanajiona wazungu haya aendeleee
Nipe number yake ya simu.
Kufua kwangu ni majanga
Mambo ya kuchambana sijui umbea yeye hata hajui mtoto wa watu, kayumba yenyewe hajui maana yake mmh toto la kishua aka cheusi dawa
Vanessa mtoto wa kishua toka day one.. Its likely hata atakaemuoa ni wa kishua and probably atakufa akiwa wa kishua bado. That's life.. Some people are gifted.. Don't ask why.
Maskin halafu alikuwa hajui kweli akamuuliza salama kayumba ndo wapi tena kwa mshangao, mmh wenzetu hao wanaojua maisha
Kazi ipo how?..
Kazi ipo how?..
Maskin halafu alikuwa hajui kweli akamuuliza salama kayumba ndo wapi tena kwa mshangao, mmh wenzetu hao wanaojua maisha
Na kupika pia hajuii hata kitandan atakua hovyo piaaa (MWANAMKE NI JIKONI) wanajiona wazungu haya aendeleee
mwanaume atakaemuoa atakua kondoo tu coz vanesa shule ipo na hela inaogelea
kuachika ni ndoto
Umeipata......sema kingine.....
Wabongo ukizungumza kingereza umewamaliza kabisa walivyo washamba...Sasa hapa vanessa tunaambiwa hela inaogelea na shule kubwa hahaha.