Vannesa Mdee: Sipendi kupika

Weweee stop bringing the problems of 90's to 2 thou. Hebi nitajie ni lini ulimuona malkia elizabeth akipika... Hizi stori za vijiweni mnatuletea...acha mawazo mgando wewe hata ukienda hapo misri tu.. Wanawake huwa sio kazi yao kupika. Mnakariri
story za vijiweni unaleta wewe, vipi kibaruwa kwa zitto kabwe kimeisha? maana hii ajila mpya ya ukuwadi inazidi kukudhalilisha na kuondoa hata utu mdogo ulionao.
 
story za vijiweni unaleta wewe, vipi kibaruwa kwa zitto kabwe kimeisha? maana hii ajila mpya ya ukuwadi inazidi kukudhalilisha na kuondoa hata utu mdogo ulionao.

Kuna siku nlimsikia mwanaFA akisema tanzania ukiwa na upeo mkubwa utaishi kwa shida sana. Hii kau.li ni kweli kbisa.. Hapa mtu kasema ukweli kuwa hapendi kupika kwani ni dhambi mnamshambulia? Ila angesema jaydee au wema sepetu au snura mngeona kawaida.. Kupenda kupika haina uhusiano na nidhamu katika maisha. Tumieni akili.
 
story za vijiweni unaleta wewe, vipi kibaruwa kwa zitto kabwe kimeisha? maana hii ajila mpya ya ukuwadi inazidi kukudhalilisha na kuondoa hata utu mdogo ulionao.

Mkuu tuambie ni lini ulimkuta malkia elizabeth akipika? Acha kuropoka mkuu
 
Hawa ndio huwa hawaolewi na wakiolewaa housegirl lazima ammiliki mume wakee

Umeonaeee mwanamke hujui kupika na hapendi ptuuuuuu

Mume wake atapata shida sana
Hajui raha ya kumwandalia mume chakula huyu
 
Umeonaeee mwanamke hujui kupika na hapendi ptuuuuuu

Mume wake atapata shida sana
Hajui raha ya kumwandalia mume chakula huyu

Umeona eeeh!tatizo wanaendekeza sana uzungu ambao hauna manufaa.Hakuna mwanaume ambaye kila siku yeye atafurahiwa kupikiwa chakula na dada wa kazi
 
Umeona eeeh!tatizo wanaendekeza sana uzungu ambao hauna manufaa.Hakuna mwanaume ambaye kila siku yeye atafurahiwa kupikiwa chakula na dada wa kazi

Uzungu au upuuzi tuu.
raha ya mume ujue anapenda kula nn ..ingia jikon mpikie mazagazaga
Kuna wanaume wanaovutiwa kuanzia kwenye chakula hapo unapata credit zaid za kupendwa.

Utamaduni wa kiafrika haupo kiivi
 
watu wamejaa miwivu tu. ooh hataolewa! kwani kuolewa ndio kuishi? watanzania sijui tumelogwa na nani?
 
vanessa piga pesa mwanamke kwa raha zako. halafu toa ajira kwa wapishi wakupikie kwa raha zako.
 

well said mdau. mdada anapiga kazi aishi anavyotaka. tena anakula msosi mzuri pengine kuliko hata sie tunaojua kupika.
 
Mwanzo Nilikuwa Kama Yeye But Now Naaaaah .....She Is Missing Out But Thats Her Life......How I Love Cooking........Tena For My Man....#Cater2Him .....Hata Kama Sijui Pishi...I Learn....
 
Dinazarde huyo mtu mrefu aka cheusi dawa hana hata cha maana anachomilik, labda verrosa ,maana anaish nyumba ya kupanga na anategemea muziki kuendesha maisha yake, mi nadhan jide ndo wakishua maana katengeneza mkwanja wake wa maana na anaishi zaidi hata ya hao watoto wa kishua, hili jitu refu mashauzi tu halina hata maisha ya kutisha, hayo maisha kayaacha kwa wazazi wake uko arusha, na nais sasa iv wamefulia
 
Last edited by a moderator:
"Hapendi kupika"...atapata mwanaume who is fine with that...we should not search for a perfect partner..we should learn to live with the weaknesses of our partners. afterall we have ours
.which could be much worse habits...
 
kumbe na wewe kichwani bure kabisa, shake well before use.

What is special ukiishi ulaya? Unawaona wale wacheza soka wa ulaya wakirudi afrika wanakuwa na hayo mashauzi? Wale wanapokea zaidi ya millioni 200 kwa wiki sembuse huyu ushuzi?
haters
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…