AiseeehVAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana pamoja na kwamba liverpool wana timu bora na wanatakiwa kuwa mabigwa ila wanabebwa sana na VAR angalia mechi yao inayoendelea. duh.
Vaa ni ufala tuKama uliangalia game ya Liverpool na Aston Villa kwenye EPL, Roberto Firmino alifunga goli VAR ikasema sio goli.
Kwani ile game ya Liverpool na Man U Origi alivyokwatuliwa halafu mpira ukaelekea kwa Liver kisha Liver wakafungwa VAR iliwabeba Liver?
Tuwe tuna balance matukio, kama ingekuwa wanabebwa kama mnavyoamini ilitakiwa Waamuzi na wanaokuwa control room ya VAR waadhibiwe maana sio Liver wanaotoa hayo maamuzi au mlitaka Liver wakatae magoli yanayoamuliwa na VAR?
Mkuu unaamini lalana alishika?yapo mkuu lakn Leo kaanza kushika van D kaja kashika lalana mane kafunga wakaweka kati ngoma ikaja mbwa mwitu jamaa kazidi kucha et offside
Pore sana charii ya malaacha kabisa mkuu gori la Liverpool LA kushika na mikono limefutwa gori LA mbwa mwitu mtu kazidi kidore kimoja cha mkono Tena bora Ata ingekuwa mguu limefutwa
VAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana pamoja na kwamba liverpool wana timu bora na wanatakiwa kuwa mabigwa ila wanabebwa sana na VAR angalia mechi yao inayoendelea. duh.
Pole sana mwana GGMU, Goli alilotufunga Rashford pale OT unalikumbuka? Pale VAR ilitenda haki kwa kuacha ile faulo ya Sadio kisha mpira kukwamisha wavuni, sio?
Ligi ya msimu huu wamepanga hadi wameboa mkuuWingreza bana kama tihefu hefu na wazee Wa karihakoo!!
duuuuhhh....... ARV???ARV Inafanya juu chini Liverpool abebe ndoo
mkuu ligi ya epl haina VAR πππ wana ARVduuuuhhh....... ARV???
Sasa wewe unaona alifanyaje? Ukumuona na yule VVD?Mkuu unaamini lalana alishika?
Ni wivu tuMashabiki wa man u bhana, origi alipokatwa wakapiga counter na kupata goli hata hawakuongea kitu kisa maamuzi ya var yaliwabeba, juzi Man City maamuzi ya var yakimbeba watu kimya. Ila ikitokea kwa liver ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo ukishasetiwa huwa haufanyi kazi kwa maelekezo ya kila mtu vile anavyotaka yeye.
Huo mfumo wa VAR kabla ya kuanza kutumika walikaa experts wa masuala ya mifumo ya Kompyuta na Mpira wakaona upo poa. Inakuwaje wewe mtoto wa Buza uone una kasoro?
Nendeni mkaanzishe Mifumo yenu iwabebe nyie [emoji23][emoji23]
Hivi mpira wa begani ni kushika?