VAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana

VAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
VAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana pamoja na kwamba liverpool wana timu bora na wanatakiwa kuwa mabigwa ila wanabebwa sana na VAR angalia mechi yao inayoendelea. duh.
 
Mwisho wa siku, hata ulie vip humu jf, liverpool kashachukua epl, uzur liverpool wakibebwa huwa wanabebeka tofaut na hizo timu nyingine mfano city, juzi alibebwa lakin wapi,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha kabisa mkuu gori la Liverpool LA kushika na mikono limefutwa gori LA mbwa mwitu mtu kazidi kidore kimoja cha mkono Tena bora Ata ingekuwa mguu limefutwa
Toka ligi ianze hakuna magoli yaliyofungwa na liver VAR ikayakataa na yakafutwa?
 
Back
Top Bottom