The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Dah!! Sis sijui nitaenda lini tena kule aisee maana nimepamiss kweliDah dogo leo umeamka poa sana unamisitari imeshuka nidai Al-BAtar nikija
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!! Sis sijui nitaenda lini tena kule aisee maana nimepamiss kweliDah dogo leo umeamka poa sana unamisitari imeshuka nidai Al-BAtar nikija
umemwambiaje tf wetukivipi tena Bebii?
BlackBerry ndio maana tunasema hii maada ya leo ni pasu kichwaHivi ukifanyiwa hii mbegu hazitoki ukimaliza pale au? unatoka upepo au? maana mambo mengine haya mwanaum kabisa wa kiafrika unaenda kufunga uzazi wakati unajua kabisa umeachana na mwenzako, kwa nini asingeoa mjane mwenye watoto au aliyeachka mwenye watoto?
Bishanga kaniambia hivi kwamba ume..... ayaaaa umeme umekatikaumemwambiaje tf wetu
Mkuu siku zote unapofanya maombi usijiombee wewe mwenyewe usiwe mbinafsi kwenye maombi muombee na mwenzako hata kama ilikuwa aingie kwenye majaribu kutokana na maombi yako Mungu anaweza kumuepusha, ni kweli wengi wetu tunakutana ukubwani lakini bado tuna nafasi ya kuweza kurekebisha mienendo yetu inawezekana kama ukiamua na inaweza isiwezekane usipoamua vile vile
achana nae kaka endelea kumwaga busara zako leoBishanga kaniambia hivi kwamba ume..... ayaaaa umeme umekatika
Katika viungo vya uzazi vya mwanaume mbegu huwa zimetenganishwa na shaha..,wakati wa kufika kileleni mbegu hutoka kwenye kifuko chake zikachanganyikana na shaha.. na kisha kutoka nje.Shaha.. inazipa mbegu vehicle ya kuogelea. Kwenye vasectomy wanakata mirija inayoleta mbegu kutoka kwenye kifuko chake na ndo maana aliyefanyiwa vasectomy anaendelea kufika kileleni kama kawaida lakini ndo hivo bunduki yake inakuwa ni mlio tu haina risasi.Hivi ukifanyiwa hii mbegu hazitoki ukimaliza pale au? unatoka upepo au? maana mambo mengine haya mwanaum kabisa wa kiafrika unaenda kufunga uzazi wakati unajua kabisa umeachana na mwenzako, kwa nini asingeoa mjane mwenye watoto au aliyeachka mwenye watoto?
Punguza hasira mremboHuyo jamaa ndo maana aliachana na mkewe kazidi roho mbaya na ni muuwaji anajua kuwa hawezi
kuzaa na hamwambii mkewe wa sasa hiyo ni tabia mbovu sana. (Kama unaweza cheat naye azae) ila usimwambie chochote kuwa
muweze hawezi kuzaa tena.
Hapo tu ndipo huwa napandwa hasira na wanaume sijui mkoje roho mbaya tuuu
Hahahaha!!! Lol!!! Bishanga leo ulipotokea, ee mwani zipo aiseewalaaaaaa sijasema kitu,kwani ye kasema nimemwambia nini? by the way ni TF wa kwako na nani? huna wivu weye?
Halafu wewe ndio unataka uchukue kabisa uraia wa huko mbona hautaki kurudi lol!!!Mimi nabaki kusoma mapoint yako tu maana naona nikichangia nitaharibu sasa
tf wetu hapa jfwalaaaaaa sijasema kitu,kwani ye kasema nimemwambia nini? by the way ni TF wa kwako na nani? huna wivu weye?
Halafu wewe ndio unataka uchukue kabisa uraia wa huko mbona hautaki kurudi lol!!!
walaaaaaa sijasema kitu,kwani ye kasema nimemwambia nini? by the way ni TF wa kwako na nani? huna wivu weye?
Punguza hasira mrembo