Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haaaa sis TF ANATISHA HATA WEWE? KUNA MTU ALISHAMZUKIA LIVE HUMU SEMA TF AKAMTOSA JAMANI KIJANA HUYU,,, ATAUWA WATU HUMU NDANI...TF wake na mimi....lol
mmmmmhhhhhh i hope mshua wako haingii humu mmu! maanaa.....
haaaa sis TF ANATISHA HATA WEWE? KUNA MTU ALISHAMZUKIA LIVE HUMU SEMA TF AKAMTOSA JAMANI KIJANA HUYU,,, ATAUWA WATU HUMU NDANI...
kwi kwi kwi.....jamani aspirin yuko wapi?
mi sijui bwana ndo maana siku hz anamwaga busara sana TF nilijua tu sio bureTatizo vijana wa siku hizi mmeharibu kabisa maana ya lugha halisi....lol... wewe si umesema wetu hap jf?? Imekuaje?? Sasa nakutambulisha rasmi umesikia??? Yule shemeji yako (kwangu) huyu TF ni mdogo wake... tatizo huji nyumbani kunitembelea....lol
ana nini?kwi kwi kwi.....jamani aspirin yuko wapi?
hapo sina la kuongeza,bora salama.
mi sijui bwana ndo maana siku hz anamwaga busara sana TF nilijua tu sio bure
Hapo umenifurahisha sana mdogo wangu....Na Mungu akusaidie akakupe mke mwema kutoka kwake.....! Stay blessed.Mkuu siku zote unapofanya maombi usijiombee wewe mwenyewe usiwe mbinafsi kwenye maombi muombee na mwenzako hata kama ilikuwa aingie kwenye majaribu kutokana na maombi yako Mungu anaweza kumuepusha, ni kweli wengi wetu tunakutana ukubwani lakini bado tuna nafasi ya kuweza kurekebisha mienendo yetu inawezekana kama ukiamua na inaweza isiwezekane usipoamua vile vile
Hivi Bishanga TF, DA na Rocky wamemaliza mjadala... naruhusiwa kutoa ushauri saizi??
Hahaha!!! Ngoja nije nifunge safari nije Hungumalwa nimuone shemeji yangu anayempa happiness Mr. Rocky
haaaa sis TF ANATISHA HATA WEWE? KUNA MTU ALISHAMZUKIA LIVE HUMU SEMA TF AKAMTOSA JAMANI KIJANA HUYU,,, ATAUWA WATU HUMU NDANI...
Mshua anaingia hapa JF... haina shida maana yeye ndo alinitambulisha na TF a.k.a PA ni mdogo wake.... Hivo kakangu pia...
kwi kwi kwi.....jamani aspirin yuko wapi?
Tatizo vijana wa siku hizi mmeharibu kabisa maana ya lugha halisi....lol... wewe si umesema wetu hap jf?? Imekuaje?? Sasa nakutambulisha rasmi umesikia??? Yule shemeji yako (kwangu) huyu TF ni mdogo wake... tatizo huji nyumbani kunitembelea....lol
Dah!!! Nimecheka lol!!mi sijui bwana ndo maana siku hz anamwaga busara sana TF nilijua tu sio bure
Wifi Ashadii na Bebii mmeanza lini kuchakachua thread ya Bishanga???
Nimeacha Wifi... nisamehe... ndio Uzuri wako... ukiwepo Thread haiharibiki.... Hope umenisamehe wifi yangu mpendwa...
Lol!!!!Karibu anaoa... kila siku seminar siku hizi (au ndo wewe kakupata?? )
Asante Sana Keren be blessedHapo umenifurahisha sana mdogo wangu....Na Mungu akusaidie akakupe mke mwema kutoka kwake.....! Stay blessed.
kumbe ulikuwa unanidanganya eeeh? kumbe yupo loh?Mkuu karibu sana sana maana yuko mmoja tuu ananipa raha maishani mwangu na sijajuta kuwa nae