[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ingia Kwenye Search engine usearch wewe mwenyewe
Mbona hata TZ makanisa yanapewa na serikali.Wewe ndo ...........kabisa hujui we Anikajema .
Cha kushangaza unashangazwa na nn
et hivi vitu vinapatikana Africa tu
hahahaha hizo link za Africa????????
Trump waAfrica????????
Hitler wa Africa??????????
Alberto rivera wa Africaaaa??????
Sikushangai Sikushangai Sikushangai Sikushangai Sikushangai
Ngoja nikudokeze tuu Europe Dini ni kidogo sana na Atheist ni wengi sana tena asilimia kubwa wawenye dini ni 40-60% tuu tena wengi ni RC maana
wanajua madhehebu mengine yote ya kikristo yameanza kama MAJIMAJI WAR amna ukweli no true.
Ni kwamba wengi bado wanaimani na RC maana uki Trace unaona kiini chake ni Yesu na Petro hata ubishe vipi huo ndo ukweli.
Wengi wa Makanisapesa wameachana nayo nenda makanisa yaki PROTESTANT Namakanisa madogo madogo ya kupiga pesa Ujerumani na Europe utakuta wazee na watoto tena angalau hΓ€ta watu 10----40
Ila makanisa ya RC wapowengi tena nibaada ya juhudi za Majesuit kuanzisha Religion dialogue nyingi wanazojua kwa uzoefu wao na elimuzao amna mtu duniani atawashinda kwenye dialogue hizo na nivigumu.Ilawao kuwashinda ni simple ndomaana pΓ€pa wasasa Fransis ana penda sana religious dialogues na ana supoort huko Europe.
Sema wazungu sadaka wanakatwa kwenye mishahara yao sema wazungu sadaka wanakatwa kwenye mishahara yao ........
ninavyojua kwa Ujerumani wanakatwa asilimia 18 watu wote wafanyakazi serikalini kma sijakosea.
hatawasipoenda church RC na Anglican na Uchache Lutheran wanapewa fedha za kurun school na hospital tena nikupunguza Fees wanazotoza kwa wanaohudumiwa basi.
yanikama Shule ilikupasa kulipa 1m Unapunguziwa hadi 6au700,000 kwa Tsh
Mtu anaenda mbinguni
kwa siri moja Love au Upendo
hii ndo siri
Propaganda za ukafiri ndio zimekuharibu wew eti Jesuit waanzishe uislam.???!!! Hakuna mtu alieanzisha uislam na wala msijikombe kombe hakuna mwenye akili hiyo dunia hiii
Hivi kabisa we na wewe ni MTU mzima Kabsaa akili yako inafanya kazi pia na wewe, na una watoto wanakutegemea?In summary form. Wakatoliki walitaka kila mtu aamini ukatoliki namna pekee ilikuwa kwa upanga wa moto. Lakini jesuit waliona kuwa kama katoliki ingeshiriki katika hili baadaye ingekuja kuwa critized. So what, they decided to create part B church (Islam) to accomplish the mission and MUD the jesuit was given the task before he bertrayed and started claiming he received from God. Na kwa kuwa ndicho alichowaaminisha wafuasi wake alikuwa na ukweli wake. But wataalamu wa theology wanasema at end MUD was on his movement back to his origin. UNAAMBIWA.
Ni mzima nategemewa na mpaka na mama ako? Ni kweli wengi hawapendi ukweli na hata wakijua ni ukweli watataka kuamini uongo ili wajinufaishe mioyo yao. Just try to uncover the unknown. Mungu toka lini akatemsha kitabu duniani, mbinguni kuna printer achane zenu bana...Hivi kabisa we na wewe ni MTU mzima Kabsaa akili yako inafanya kazi pia na wewe, na una watoto wanakutegemea?
πππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanza nakushukuru kwa kuangalia moja kati ya uzi bora 2019Kuna wapuzi humu wanachekesha tangu lini Vatican walianzisha uislamu na wapi na ilikua lini wacha nicheke Mimi hahahahaaa kuna watu mijinga dunia hii
Hapa kuna mambo ntatengeneza uzi kuhusu hii June lazima ukweli ujulukane haaaaaala!Ni mzima nategemewa na mpaka na mama ako? Ni kweli wengi hawapendi ukweli na hata wakijua ni ukweli watataka kuamini uongo ili wajinufaishe mioyo yao. Just try to uncover the unknown. Mungu toka lini akatemsha kitabu duniani, mbinguni kuna printer achane zenu bana...
na kanisa aliloanzisha yesu nilipi???????????????Yesu ndiyo NJIA kweli na uzima MTU haji Kwa Baba isipokuwa Kwa Mimi, Jesus said
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga zaidi ni anaeujua ujinga halafu anaufanya,Wewe akili yako ndo finyu kwanza
kwa kuusoma huu uzi unaosema unadhihirisha ufinyu wa kufikiri kwetu umenyesha wazi watu wenye ufinyu wa kufikiri
wameweza andiakitu na
- Ukafungua
- Ukasoma
- Uka comment unaonyesha wewe uwezo wako ndo mfinyu mfinyu mfinyu mfinyu kupindukia ningekuona wamaana kama usingeufungua na ungekuwa walau unasoma critical thinking books. Ili uondoe dhana ya wa Afrika hawapendi kusoma vitabu na ukitaka ufiche kitu kwa wa Afrika ficha kwenye vitabu..THANK
Siku zote asiyejua akijuzwa huona wanaojua wanapomjuza wajinga. Tuache itikadi tutafute ukweli au hata possibility.Kuna wapuzi humu wanachekesha tangu lini Vatican walianzisha uislamu na wapi na ilikua lini wacha nicheke Mimi hahahahaaa kuna watu mijinga dunia hii
πππππππππππππππSiku zote asiyejua akijuzwa huona wanaojua wanapomjuza wajinga. Tuache itikadi tutafute ukweli au hata possibility.
Kuna possibility kubwa Uislamu ulianzishwa na Roma.
Sent using Jamii Forums mobile app