Vatican inamiliki dunia

Hv unadhani Daniel kuandika kwamba maarifa yataongezeka pengine alimaanisha nini et...

Kama ulitaka Biblia iandike kila kitu unadhani ungekuwa na uwezo wa kusoma...
Aliyoandika nimachache
Watu wananywea padri James ndo alikusanya vitabu na Council of Costatinopole waka visuka hauoni ndo stori za Adam zikaanza
Gusa hapa papa kasema stori za Adam ni fiction.Hiyo
Internet.org
 
Hv unadhani Daniel kuandika kwamba maarifa yataongezeka pengine alimaanisha nini et...

Kama ulitaka Biblia iandike kila kitu unadhani ungekuwa na uwezo wa kusoma...
Papa ana waambia ukweli
Biblia ilichezewa na Story ya.Adam ni.Fiction gusa hapa
Hiyo
Internet.org
 
Kwahiyo nyie wasabato mna vitabu vingapi mnavyo soma...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Qur'an 34:

37. “And neither your wealth nor your children are that which bring you nigh unto us, except for him who believes, and does righteousness, these are (the ones) for whom is a double recompense for what they did, and they in the exalted places shall be secure.”
 
Kinacho wasaidia wakatoliki ni kiwa na mifumo imara Amna dhehebu lenye mifumo imara kama hilo.
Ikiwemo kuwa na top leader
SDA tutasemaje maana hawanywi kahawa
Mashahidi wa yehovya na Blood transfusions tutasemaje.
 
Ukiongea RC.
Wana Dini na serikali. Holy see.
Na wana wafuasi 1.4billion.
Wana mifumo thabiti sema mifumo ya kuchunguza ma padre wanaofira ilikuwa awahja implement Ila Pope Francisco akaanzisha.
Wao walidili na ununuzi wa dhahabu.
Na
Ma puppet wao
J.P.Morgan.
Amest Roth. N.k
 
Unajua maan ya conspiracy
 
Unajua maan ya conspiracy
 
Tafuta mtaalamu wa Islamic history akuambie nan alimfundisha Mohammed.
Hata mke wake kat ya wa 1 au wa 2 alikuwa Rc
 
Acha uhuni wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa hilo ila unapaswa kuelewa kuwa kuna kitu unaitaji kama ungepata muda ukasoma Biblia na ukaelewa inasema nini natumaini ungejua ukwel...
Ukweli upi?Hiyo bible unayotuambia tuisome imekuwa compiled na nani?original manuscripsts zake ziko wapi?Halafu wewe uje umekeririshwa na mchungaji wa kijita unajifanya unajua kuisoma kuliko wamiliki wake!Pole!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…