Vatican inamiliki dunia

Vatican inamiliki dunia

Hv unadhani Daniel kuandika kwamba maarifa yataongezeka pengine alimaanisha nini et...

Kama ulitaka Biblia iandike kila kitu unadhani ungekuwa na uwezo wa kusoma...
Aliyoandika nimachache
Watu wananywea padri James ndo alikusanya vitabu na Council of Costatinopole waka visuka hauoni ndo stori za Adam zikaanza
Gusa hapa papa kasema stori za Adam ni fiction.Hiyo
Internet.org
 
Hv unadhani Daniel kuandika kwamba maarifa yataongezeka pengine alimaanisha nini et...

Kama ulitaka Biblia iandike kila kitu unadhani ungekuwa na uwezo wa kusoma...
Papa ana waambia ukweli
Biblia ilichezewa na Story ya.Adam ni.Fiction gusa hapa
Hiyo
Internet.org
 
KWANINI MLIEDIT BIBLIA SASA TOKA VITABU 66-72?

UNADHANI MUNGU ANAPOJIITA ALFA NA OMEGA NI FASHENI TU? MUNGU ALISHAWAJUA VZR SN NINYI WAPINGA KRISTO WAKUU KUWA NI LAZIMA MTAKUJA KU-EDIT HIYO BIBLIA.

UFUNUO 22:18-20 "Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
19 Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
20 Yeye mwenye kuyashuhudia haya asema, Naam; naja upesi. Amina; na uje, Bwana Yesu."

ISAYA 10:1-2 "Ole wao wawekao amri zisizo za haki, na waandishi waandikao maneno ya ushupavu;
2 ili kumpotosha mhitaji asipate haki yake, na kuwanyang’anya maskini wa watu wangu haki yao; ili wajane wawe mateka yao, na kuwafanya yatima waliofiwa na baba zao kuwa mawindo yao!"

MUNGU KAWAONYA NINYI MUENDAO UPOTEVUNI KUWA OLE WENU MNAO-EDIT BIBLIA SABABU ALISHAWAJUA MIOYO YENU JINSI INAVYOMUWAKILISHA YULE shetani/ibilisi BABA WA UONGO.

SO ENDELEA KUNG'ANG'ANIA AMBACHO MUNGU KASHAKUKATAZA LAKINI SIKU YA HUKUMU HAUTASIMAMA NA HUYO PAPA/WAKALA WA shetani.





Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo nyie wasabato mna vitabu vingapi mnavyo soma...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Qur'an 34:

37. “And neither your wealth nor your children are that which bring you nigh unto us, except for him who believes, and does righteousness, these are (the ones) for whom is a double recompense for what they did, and they in the exalted places shall be secure.”
 
DHEHEBU LA KATOLIKI NI LA KIPAGANI KWA 99.9%. TOKANA NA SABABU ZIFUATAZO:

1. Nguruwe/Kitimoto twende kazi.

2. Kuabudu sanamu wala siyo Mungu aliye hai, twende kazi.

3. Pombe/ulevi, twende kazi.

4. Sikukuu zote ambazo hazijahalalishwa katika Biblia, twende kazi.

5. Sala za Wafu wasiojua chochote kinachoendelea kwa walio hai, twende kazi.

6. Kutoa misamaha kwa Binadamu hai hata kwa Marehemu toka kwa kiongozi wao wa dini nakati ni Mungu pekee ndiye astahiliye kutoa hiyo misamaha, twende kazi.

7. Kutengua agizo la kuto-edit(kuongeza wala kupunguza neno lolote katika Biblia "UFUNUO 22:18-21" tena sasa hivi wanakuja na Biblia yao feki "The Bible 2000 years" twende kazi.

8. Wakala mkuu wa Lucifer(shetani/ibilisi na baba wa uwongo) kujiita Baba mtakatifu wa dunia nzima nakati Biblia inatambua uwepo wa Baba m1 tu ambaye ni Muumba wa mbingu na nchi na vyote viijazavyo nchi, twende kazi.

9. Upagani wa utatu mtakatifu wa miungu watu(Nimrod, Semiras na Tammuz) huku wakijificha katika kivuli cha uhalali wa YEHOVA(Mungu Baba), Yesu(Mungu Mwana) na Roho Mtakatifu(nguvu ya Mungu), twende kazi.

10. Kuibadili siku takatifu ya Mungu ya 7(Sabato/Jumamosi) kwa kuiweka kinyume kwa siku ya kwanza ya juma(Jumapili), twende kazi.

11. "Usiwe na miungu mingine ila mimi" wao wanahalalisha rozali wakiiabudu na kuitumikia, twende kazi.

DHEHEBU GANI LINARUHUSU KILA KITU NAKATI MUNGU NI WA UTARATIBU NDIYOMAANA ALITUPATIA SHERIA TUZITII?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kinacho wasaidia wakatoliki ni kiwa na mifumo imara Amna dhehebu lenye mifumo imara kama hilo.
Ikiwemo kuwa na top leader
SDA tutasemaje maana hawanywi kahawa
Mashahidi wa yehovya na Blood transfusions tutasemaje.
 
"SI KILA ATAYENIJIA AKINIITA BWANA BWANA ATAUONA UFALME WA MUNGU"

MATHAYO 7:21-23.

2WAKORINTHO 11:14-15 "Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.
15 Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao."

MATHAYO 7:41-20 "Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.
15 Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.
16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?
17 Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya.
18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri.
19 Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni.
20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua."

WAENENDE KWA SHERIA(AMRI 10 ZA MUNGU) NA USHUHUDA(MATENDO ALIYOYATENDA YESU NA MANABII WAKE).

ISAYA 8:19-20 19 "Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong’ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?
20 Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili, bila shaka kwa hao hapana asubuhi."

USIIAMINI KILA ROHO.

1YOHANA 4:1-6 "Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
2 Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.
3 Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.
4 Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.
5 Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia
6 Sisi twatokana na Mungu. Yeye amjuaye Mungu atusikia; yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu."

"MPENDWA NJIA YA KWENDA MBINGUNI NI NYEMBAMBA NA WAINGIAO NI WACHACHE" TAYARI "RC" IMEKUPELEKA MOTONI SABABU INA WAFUASI WENGI SANA.

JE HAYO MAFUNGU YOTE YANAFUATWA NA "RC"???

JITATHMINI KWANZA NDIPO UJE NA UTHIBITISHO KUWA "RC" NI DHEHEBU LA MUNGU LAKINI KWA 100% "RC" NI WAKALA WA LUCIFER(SHETANI) NA NDIYO WATAOHUSIKA KATIKA KUTIMIZA UNABII.

DANIEL 7 & UFUNUO 14.





Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiongea RC.
Wana Dini na serikali. Holy see.
Na wana wafuasi 1.4billion.
Wana mifumo thabiti sema mifumo ya kuchunguza ma padre wanaofira ilikuwa awahja implement Ila Pope Francisco akaanzisha.
Wao walidili na ununuzi wa dhahabu.
Na
Ma puppet wao
J.P.Morgan.
Amest Roth. N.k
 
Asante kwa kunialika lakini kile ulichonipondea kule kwenye mada ya kiranga naona ndio umekifanya huku tena kwa asilimia miamoja... Mimi nimeandika mada ya uchambuzi lakini wewe ni copy n paste 100%... Halafu nyingi ni conspiracy za kutunga na kufikirika

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua maan ya conspiracy
 
Asante kwa kunialika lakini kile ulichonipondea kule kwenye mada ya kiranga naona ndio umekifanya huku tena kwa asilimia miamoja... Mimi nimeandika mada ya uchambuzi lakini wewe ni copy n paste 100%... Halafu nyingi ni conspiracy za kutunga na kufikirika

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua maan ya conspiracy
 
Qur'an 34:

37. “And neither your wealth nor your children are that which bring you nigh unto us, except for him who believes, and does righteousness, these are (the ones) for whom is a double recompense for what they did, and they in the exalted places shall be secure.”
Tafuta mtaalamu wa Islamic history akuambie nan alimfundisha Mohammed.
Hata mke wake kat ya wa 1 au wa 2 alikuwa Rc
 
In summary form. Wakatoliki walitaka kila mtu aamini ukatoliki namna pekee ilikuwa kwa upanga wa moto. Lakini jesuit waliona kuwa kama katoliki ingeshiriki katika hili baadaye ingekuja kuwa critized. So what, they decided to create part B church (Islam) to accomplish the mission and MUD the jesuit was given the task before he bertrayed and started claiming he received from God. Na kwa kuwa ndicho alichowaaminisha wafuasi wake alikuwa na ukweli wake. But wataalamu wa theology wanasema at end MUD was on his movement back to his origin. UNAAMBIWA.
Acha uhuni wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa hilo ila unapaswa kuelewa kuwa kuna kitu unaitaji kama ungepata muda ukasoma Biblia na ukaelewa inasema nini natumaini ungejua ukwel...
Ukweli upi?Hiyo bible unayotuambia tuisome imekuwa compiled na nani?original manuscripsts zake ziko wapi?Halafu wewe uje umekeririshwa na mchungaji wa kijita unajifanya unajua kuisoma kuliko wamiliki wake!Pole!
 
Back
Top Bottom