Vatican ni nchi moja ya kipekee sana ulimwenguni

Vatican ni nchi moja ya kipekee sana ulimwenguni

Sawa ila sidhani kama ni sahihi kusema dunia ipo kiganjani mwao. Ila naona ni sahihi kusema wana ushawishi sehemu kubwa duniani, sehemu ambazo zina wafuasi wengi wa kikatoliki.

Ila sehemu zingine kama China, Korea, Japan, India, Uarabuni na sehemu zingine zinazotukuza tamaduni zao, Vatican hawawezi Fanya chochote.
Sehemu zisizo na Wakatoliki bado zinafikika na Marekani, huwezi kimbia Vatican Dunia hii!
 
Mara uambiwe sio nchi kwa kuwa Yesu hakuja kuanzisha ufalme wa dunia!! Hao mabalozi ni wa nini? Je Yesu alikuwa na jeshi la kumlinda? Ndio maana alikamatwa tu kama kuku na kufikishwa kwa Plato
 
Katoriki ni moja wapo ya taasisi za kUidini zilizokuja Africa kutupumbaza na kututapeli.

Wamekuja Africa tumewachangia mipesa wamepata mitaji, wamefungua biashara kubwa ambazo zinaingiza pesa nyingi Ila sisi sio sehemu ya umiliki wa hizo mali na biashara.

Kweli Africa ni bara la wapumbavu.
Unaijua historia lakini?

Ni Africa pekee ndiyo iliyonyonywa na Vatican hata uitukane Africa? Vipi North & South America? Vipi Australia na sehemu za Ulaya?

Lile sanamu kubwa pale Brazil unajua kwanini liko pale? Unajua hadi French Revolution inafanyika Wafaransa walikuwa wameshanyonywa vya kutosha na Wakatoliki? Sasa kwanini uwatukane Waafrika peke yao?

Kwa ufupi, hakuna bara ambalo halijawahi kufanyiwa (na linaloendelea kufanyiwa) exploitation na Kanisa Katoliki.
 
Ukifika pale Italia, kuna sehemu ndogo ya nchi, inaitwa Vatican. Hapo ndipo yalipo makao makuu ya Kanisa la Roman Catholic ambapo mkuu wa kanisani hilo ni Papa.

Pale Italia wana pesa yao, ila haitumiki ukiingia Vatican. Kule Vatican wana pesa yao na unaweza kuitumia hata Italia.

Rais wa Italia, Bwana Sergio Mattarella hana mamlaka katika serikali ya Vatican, ila Papa ana mamlaka makubwa katika serikali ya Italia.

Mtu wa Vatican anahesabika ni Muitaliamo pia, ila Muitaliano huhesabiki kama Mvatican.

Polisi wa Italia wakienda Vatican, kuna sehemu hawatakiwi kukanyaga kabisa, yaani wamewekewa mipaka ya kuvuka nchini humo.

Vatican ina raia 800 tu ila ndiyo wanaisshikilia dunia yenye binadamu zaidi ya bilioni 7.

Vatican hakuna hospitali, so hakuna suala la kusema umepata uraia kwa kuzaliwa. Wao washajiwekea ni watu 800 tu. Akifa mmoja, analetwa mwingine.

Hapo Vatican kuna museum 70,000 ambapo utaangalia historia za sehemu mbalimbali. Wana vitabu vya historia ya kila taifa duniani. So wanazijua nchi zote mpaka serikali zake. Na kwa siku hupokea watalii 25,000.

Vatican ina miaka 95 tu tangu alianzishwe.

Ndani ya Vatican, kuna maeneo mtu mwenye tattoo haruhusiwi kuingia.

Papa halipwi ila Vatican huingiza mapato ya dola milioni 300 kwa mwaka ambazo hutumika kwa ajili ya chakula, pesa kidogo kwa papa na kugharamia safari zake.

Wanajeshi kutoka nchini Uswisi ndio wanaoilinda Vatican.

Vatican haizitambui nchi mbili tu duniani, China na Korea Kaskazini.

Benki ya Vatican inamiliki assets ya dola bilioni 64.

Vatican inatumia benki ya Istituto per le Opere di Religione kuhifadhi pesa zao. Kuna kipindi wezi waliiba humo, walikufa vifo vya kutatanisha.

Unapoingia Vatican, unaruhusiwa kubeba kamera yako popote pale isipokuwa katika kanisa la Sistine.

Unapoingia kwenye museum yoyote pale Vatican, unaruhusiwa kupiga picha ila kamera isiwe na flash.

June 22 mwaka 1983 mwanamke aitwaye Emmanuela alipotea katika mazingira ya kutatanisha huko Vatican alipokuwa akisomea shule ya muziki.

Vatican inamiliki telescope kubwa huko Arizona ya kufanyia tafiti zao mbalimbali.

Huwa nawaambieni, mkisikia Papa, jua umemsikia mtu mkubwa sana, yaani mkubwa kuliko unavyofikiria. Na ukisikia Roman Catholic, jua umesikia kanisa kubwa mno kuliko unavyofikiria.

Kuna maamuzi huwezi kuyafanya pasipo ruhusa kufika Vatican.

Dunia ipo kiganjani mwao.
Mkuu nje ya mada kidogo, ni kwa nn vijana waliosomea upadre wa katoliki specifically, wakafika stage fulani huko mbelembele alafu mambo yakawashinda huko, wakirudi mtaani wanakuwa kama hawako sawa hivi. Kuna mmoja tupo naye kitaani hapa, amekuwa ni mlevi balaa na mkorofi sana akishalewa mara akatae bill, mara afokee watu hovyo, ukimchallenge kidogo mara anataka kupigana, yaani kifupi ni vurugu tupu... na kibaya zaidi anajiita shetani. Ukiangalia profile picture yake ya whatsapp ameweka yale manembo ya kishetani illuminate, huwa simuelewagi kabisa
 
Mkuu nje ya mada kidogo, ni kwa nn vijana waliosomea upadre wa katoliki specifically, wakafika stage fulani huko mbelembele alafu mambo yakawashinda huko, wakirudi mtaani wanakuwa kama hawako sawa hivi. Kuna mmoja tupo naye kitaani hapa, amekuwa ni mlevi balaa na mkorofi sana akishalewa mara akatae bill, mara afokee watu hovyo, ukimchallenge kidogo mara anataka kupigana, yaani kifupi ni vurugu tupu... na kibaya zaidi anajiita shetani. Ukiangalia profile picture yake ya whatsapp ameweka yale manembo ya kishetani illuminate, huwa simuelewagi kabisa
Mmmmh kichwa yake ina vitu vingi anajua halafu hana wa ku share naye wakaelewana...kichwa inakua ya moto muda wote
 
Mkuu nje ya mada kidogo, ni kwa nn vijana waliosomea upadre wa katoliki specifically, wakafika stage fulani huko mbelembele alafu mambo yakawashinda huko, wakirudi mtaani wanakuwa kama hawako sawa hivi. Kuna mmoja tupo naye kitaani hapa, amekuwa ni mlevi balaa na mkorofi sana akishalewa mara akatae bill, mara afokee watu hovyo, ukimchallenge kidogo mara anataka kupigana, yaani kifupi ni vurugu tupu... na kibaya zaidi anajiita shetani. Ukiangalia profile picture yake ya whatsapp ameweka yale manembo ya kishetani illuminate, huwa simuelewagi kabisa
Unafikiri huo utawa wanao somea ni utawa basi!!?
Ni ushetani uliopakwa utawa kwa nje!!

Ukishaondoka Kyle hauwi sawa kwasababu ushalaaniwa na hayo mashetani wanayoyatumikia huko!!

Hakuna utawa kule ni Siri ndani ya siri hadi mwenye siri kuu!!

Huko ndipo dini kuu mbili zilipoanzishwa!!
 
Na wameruhusu baada ya kuona nguvu yake imeshapungua na wanajua namna ya kuwa control pia, maana nao wanaweka humohumo mapandikizi ya watu wao kupata taarifa za upande wa pili
Hakuna walicho ruhusu bado kuna mgogoro mkubwa tu wa kutokuelewana kati ya China na Vatican
 
China imeshaingia kwenye mfumo, makanisa ya Catholi pamoja na makardinal wa kichina sasa wapo chini ya Vatican tofauti na mwanzoni ambapo China iliomba serikali iwasimamie yaani mamlaka yao isitoke Vatican.North Korea napo taratibu ukatoliki umeshaingia kuna makanisa na kardinal huko.
Sio kweli hata kidogo bado kuna ugumu
 
Kwa hiyo sasa hivi wanao miliki dinia sio wayahudi tena bali ni Vatican?
 
Hakuna walicho ruhusu bado kuna mgogoro mkubwa tu wa kutokuelewana kati ya China na Vatican
Tuseme wamelegeza kidogo na hii labda sababu ya kuichukua Hongkong maana ndo iliokua na wakristo wengi ila pande nyingine za china ilikua ukikutwa hata na biblia msala
 
Tuseme wamelegeza kidogo na hii labda sababu ya kuichukua Hongkong maana ndo iliokua na wakristo wengi ila pande nyingine za china ilikua ukikutwa hata na biblia msala
Bado ngoma ngumu makubaliano waliyo ingia hayatekelezeki kama yalivyo paswa kuwa kila pande inataka kusikilizwa zaidi na kutimiziwa mahitaji yake.

Mwisho wa siku muamuzi wa mwisho ni serikali ya China wala sio vatican maana hata wakiamua kufuta kanisa katoliki China na wakatengeneza la kwao wanaweza.

Papa alipofanya trip ya nchi ya jirani ya Mongolia mwaka jana aliisihi serikali ya Beijing ilegeze mashariti na iwape uhuru wa kuchagua viongozi wake wa kiimani kutoka Vatican kwa ajili ya kanisa lao.

Serikali ya Beijing bado ipo kimya labda miaka ya baadae watakubaliana na hapo lazima mmoja akubali kuwa chini and obviously binafsi naona katoliki lazima tu atakubali kuwa chini maana wakomunisti wale ni wabishi na wana misimamo.

Buddhism, Islam, Falun gong hawa wanawafahamu wakomunisti wale wa Beijing
 
Back
Top Bottom