Vatican: Papa Francisco yupo katika Hali mahututi

Vatican: Papa Francisco yupo katika Hali mahututi

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Taarifa kutoka makao makuu ya kanisa katoliki St Peter's basilica huko Vatican inasema papa Francisco kwa sasa yupo katika Hali mahututi kutokana na ugonjwa wa mapafu unaomsumbua.

Tumuombee kiongozi wetu wa kiroho amani ya Bwana itawale aweze kupata nafuu
Screenshot_20250223-002746.png
 
Taarifa kutoka makao makuu ya kanisa katoliki St Peter's basilica huko Vatican inasema papa Francisco kwa sasa yupo katika Hali mahututi kutokana na ugonjwa wa mapafu unaomsumbua.

Tumuombee kiongozi wetu wa kiroho amani ya Bwana itawale aweze kupata nafuu
View attachment 3245826

Anaenda kukutana na Mungu mwenyewe ambaye wala hawana mahusiano, asipompokea Yesu anaenda ku rott in hell Kama mashoga anaowa support
 
Awaombe msamaha waisrael na dunia kwa kauli zake za kishenzi kabisa dhidi ya iblis Arabs wa Gaza.. adhabu ya Vita kwa Arabs ni Gadhabu za Mungu wake kitendo cha October 7 adhabu ni lazima sababu Arabs walisema wataendelea tena na tena so Mungu amewaonesha watakachokuwa wanasiasa.. sasa Papa Samaki anakosoa kipumbavu ili kumfurahisha Allah wa Waislam..


Papa kachagua side ya Allah let him go
 
Awaombe msamaha waisrael na dunia kwa kauli zake za kishenzi kabisa dhidi ya iblis Arabs wa Gaza.. adhabu ya Vita kwa Arabs ni Gadhabu za Mungu wake kitendo cha October 7 adhabu ni lazima sababu Arabs walisema wataendelea tena na tena so Mungu amewaonesha watakachokuwa wanasiasa.. sasa Papa Samaki anakosoa kipumbavu ili kumfurahisha Allah wa Waislam..


Papa kachagua side ya Allah let him go
Una akili ndogo sana
 
Awaombe msamaha waisrael na dunia kwa kauli zake za kishenzi kabisa dhidi ya iblis Arabs wa Gaza.. adhabu ya Vita kwa Arabs ni Gadhabu za Mungu wake kitendo cha October 7 adhabu ni lazima sababu Arabs walisema wataendelea tena na tena so Mungu amewaonesha watakachokuwa wanasiasa.. sasa Papa Samaki anakosoa kipumbavu ili kumfurahisha Allah wa Waislam..


Papa kachagua side ya Allah let him go
Surat Aal-Imran (3:85)
"Na anayetafuta dini isiyokuwa Uislamu, haitakubaliwa kwake, naye Akhera atakuwa miongoni mwa wenye hasara."
 
Anaenda kukutana na Mungu mwenyewe ambaye wala hawana mahusiano, asipompokea Yesu anaenda ku rott in hell Kama mashoga anaowa support
Umechanganyikiwa.

Papa Francis alirithi kiti cha mtume Petro pale Vatican(Holy-see) tena alitoa moshi mweupe.

Mt.16:18=Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda. Mtume Petro ndiye aliyekuwa Papa wa kwanza wa kanisa la ki-ulimwengu katoliki.

Yohane 13:1 = Mwenyezi-Mungu amewapenda watu wake katika ulimwengu ( Watu wake Mwenyezi-Mungu ni Wakatoliki.Neno Catholic huwa linamaanisha Ulimwengu), naam aliwapenda upeo. ( alitupenda upeo ndio maana wakatoliki huwa tuna Akili-kubwa) akamtoa mwanae wa pekee ili ulimwengu upate kukombolewa.

Kwa hiyo Papa Francis na wakatoliki tumesha mpokea Yesu Kristo toka enzi za mitume wake.Tuna mkiri na kumsifu Yesu Kristo katika kila Dominika.

Hata ikitokea Mungu akamchukua,Papa Francis ataenda mbinguni.Na atakuja Papa mwingine atakalia kiti cha mtume Petro ili Yesu Kristo aendelee kulijenga kanisa lake juu ya mwamba huo.
 
Taarifa kutoka makao makuu ya kanisa katoliki St Peter's basilica huko Vatican inasema papa Francisco kwa sasa yupo katika Hali mahututi kutokana na ugonjwa wa mapafu unaomsumbua.

Tumuombee kiongozi wetu wa kiroho amani ya Bwana itawale aweze kupata nafuu
View attachment 3245826
Mungu amsaidie aokoke kabla ya kutangulia mbele za haki. how i wish ningekuwa karibu naye nimwambie hili.
 
Umechanganyikiwa.

Papa Francis alirithi kiti cha mtume Petro.

Mt.16:18=Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda. Mtume Petro ndiye aliyekuwa Papa wa kwanza wa kanisa katoliki.

Kwa hiyo Papa Francis na wakatoliki tumesha mpokea Yesu Kristo toka enzi za mitume.Tuna mkiri na kumsifu Yesu Kristo katika kila Dominika.

Hata ikitokea Mungu akamchukua,Papa Francis ataenda mbinguni.Na atakuja Papa mwingine atakalia kiti cha mtume Petro ili Yesu Kristo aendelee kulijenga kanisa lake juu ya mwamba huo.
Hakuna ushahidi wowote kuwa mtume Petro alikuwa papa
 
Back
Top Bottom