Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Taarifa kutoka makao makuu ya kanisa katoliki St Peter's basilica huko Vatican inasema papa Francisco kwa sasa yupo katika Hali mahututi kutokana na ugonjwa wa mapafu unaomsumbua.
Tumuombee kiongozi wetu wa kiroho amani ya Bwana itawale aweze kupata nafuu
Tumuombee kiongozi wetu wa kiroho amani ya Bwana itawale aweze kupata nafuu