Hiyo Isdal ni wanawake wenyewe waliobuni na inafanya kazi nzuri kama ilivyoelezwa hapo juu.Wewe bado unasingizia wanaume.
Na kikubwa walichofanya ni kubadili mshono ilingane na hali zao lakini ni ile ile hijabu iliyotajwa kwenye Qur'an.Hivyo utaona maajabu na hekima za Mwenyezi Mungu katika maamrisho yake.