- Thread starter
- #41
Kweli mkuu; Mwanamke anakukosea unamsema...sasa badaya ya kufanya manjonjo naye eti anakununia...kama mkristo anaanza kuimba vipambio vya kanisani...like. bwana uu sehemu yangu rafiki yangu .....Wanawake wengi wanapata taabu kwenye mahusiano au mapenzi kwa kuwa hawajui kutumia vema hizi siraha zenu za maangamizi kama ww hata mimi nakumehe kabida bila kinyongo chezea kanga moko weye mara paa!! Mtarimbo unasoma 4g fasta naitoa hio kanga unaniliza[emoji39][emoji39][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee mzima unaona nyumba haikaliki unawasha gari unakwenda sehemu unaagiza konyagi na order ya mbuzi choma.....kisha unafungua smartphone unamcheki mwenye nafasi...kukuliwaza shuba meet!!!
Kwenye ndoa mwanamke mjanja na anayejitambua aisee mwanaume wake hachomoki nina uhakika 100%.