[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa maoni yangu jeans inafaa kuswaliaaa[emoji57][emoji57][emoji57]Wewe unashinda chumbani kwako na boksa au unashinda na jeans chumbani kama makonda?
Yaani ukos siriaz unatoa mfano wa jeans kufananisha na boksa mdogo wangu rikiboy?
Jeans haifai kuvaa msibani na kanisani tu ila sehemu zingine inafaa au jeans(kama ya makonda)haifai kuvaliwa popote pale katika jamii kwa uono wako waonaje?
Nimekwambia kiongozi, unajua maana ya " kiongozi"?Kwa hiyo kuvaa vile sio kwamba haifai kanisani tu bali hata kuvaa popte pale kwenye jamii na haifai kuvaa kwa yeyote yule au siyo mkuu?
Mkalimu = mkarimukasema hakuna mchaga mkalimu kama mzee mengi,mpaka sasa sijaelewa alimaanisha nini
Miii kwakweli nmeona mikono ya baunsa[emoji16][emoji16]Editing ya kijinga sana ,chunguza mikono ndio utajua mleta post ni gay
Kanzu.Kwani kanisani kunatakiwa kuvaliwa mavazi gani?
Kwani kiongozi asivae jeans na wewe uvae jeans inakuwa wewe inavaa humuogopi nani na huyo kiongozi anavaa kumuogopa nani au kwa kuhofia nini mpaka ifae kwa mtu wa kawaida na kwa kiongozi isifae mkuu?Nimekwambia kiongozi, unajua maana ya " kiongozi"?
Nakuheshimu sana Mdau ila kwa hili hauna hoja ya kumlaumu makonda bali naona ni hamasa tu za kiushabiki humu ndani.Muhamad[emoji57][emoji57]
Nimuheshimu vipi mtu asiejiheshimu??? Huwezi kuvaa ile pedo ukaingia nayo Kanisanii... Wewe kama imekuuma wewe vaa kesho ingia nayo msikitini ili umuunge mkono mtu mpuuzi kama yule[emoji48][emoji48]Nakuheshimu sana Mdau ila kwa hili hauna hoja ya kumlaumu makonda bali naona ni hamasa tu za kiushabiki humu ndani.
Kwa hiyo nje ya kanisa inafaa tu hamna shida?Nimuheshimu vipi mtu asiejiheshimu??? Huwezi kuvaa ile pedo ukaingia nayo Kanisanii... Wewe kama imekuuma wewe vaa kesho ingia nayo msikitini ili umuunge mkono mtu mpuuzi kama yule[emoji48][emoji48]
Kanisa lina miiko na ni sehemu takatifu so panahitaji kuheshimiwa... Yale sio mavazi ya heshima hasa kwa mtu kama Makonda kuingia nayo kanisani...!! Hata ofisini vile huruhusiwi kuvaa jeans na vitobo magotini what a shame...[emoji57][emoji57][emoji57] Huko nje ya kanisa ni maisha yake na taratibu zake mwenyewe me hayanihusu ila kuhusu kanisa hapana ataambiwa ukweli tu akavalie huko msikitini mnakoruhusu[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo nje ya kanisa inafaa tu hamna shida?
Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.
Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?
Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?
Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Because Obama is not 0 brainAkivaa barrack Obama OK....!Lakini Makonda Makelele kibao....
hajaomba msamaha amesema tatizo ni tafsiri hivi wote pale hawajamwelewa
Kinachohalalisha pale asivae ni kipi?
Na kinachohahalisha siku zingine zisizokuwa za msiba na watu weng]ne wasiokuwa yeye wavae ni kipi?
Kwani kiongozi asivae jeans na wewe uvae jeans inakuwa wewe inavaa humuogopi nani na huyo kiongozi anavaa kumuogopa nani au kwa kuhofia nini mpaka ifae kwa mtu wa kawaida na kwa kiongozi isifae mkuu?
Miafrika ndivyo tulivyoWazungu ndio SI Unit ya ustaarabu au kama unabisha rudi kwenye tamaduni za kibantu. Hiyo simu choma moto, hizo nguo tupa zote , kavae magome ya miti.