Mleta mada, ametamani hipsi la muheshimiwa!
Kwa kweli challenge za mwanamke huongezeka na majukumu/vyeo!
Imagine, asubuhi unapoamka unatakiwa uwaze yafuatayo.
1: Nguo za mumeo
2: Lunch box za watoto
3: Meetings, reports, managerial issues etc
4: Upinzani
5: How do you look, na watu watakuonaje!!!!???
Na mwanamume akiamka anasumbuliwa na:
1: Kazi
2: Kazi
3: Kazi
4: Kazi
5: Kazi
hicho kijambakoti cha nini?
Hana watoto wa kumshauri avaeje?
Nadhani kwa vile yeye ni Waziri kivuli.CHADEMA heshima yenu ndogo sana.
Mbona Halima Mdee anavaa kiajabu ajabu mpaka anawasaga wenzake anawapeleka mpaka Saloon,
Mbona hamuweki picha zake hapa?
Yaani waziri unavaa kitoto mpaka pindo za chupi na mahaga yanaonekana mbele ya hadhira kweli!!!
Sasa hapo vijana wetu wanajifunza nini na tunapata tafsiri gani hapo? Jamani nimesikitishwa sana na vazi la waziri na ameniharibia siku yangu waziri anapaswa kuwa kioo cha jamii mambo ya fashion, kuuza sura hayatakiwi kwa kioongozi wa serikali mzito kama wewe uliye pewa dhamana na rais.
Yaani waziri unavaa kitoto mpaka pindo za chupi na mahaga yanaonekana mbele ya hadhira kweli!!!
Sasa hapo vijana wetu wanajifunza nini na tunapata tafsiri gani hapo? Jamani nimesikitishwa sana na vazi la waziri na ameniharibia siku yangu waziri anapaswa kuwa kioo cha jamii mambo ya fashion, kuuza sura hayatakiwi kwa kioongozi wa serikali mzito kama wewe uliye pewa dhamana na rais.
Amemuiga yule mtangazaji wa kiume wa ITV, nae hupenda kuvaa hiki kijasti bikozi. Lakini kuonekana kwa hiyo michirizi ya nguo ya ndani nadhani kumetokana yeye kuwa na vibastola. Angekuwa kimbaumbau msingeona hiyo kitu. Kwa kuwa yeye ni waziri wa habari sio mbaya akivaa hivyo, mie nimeipenda
angekuwa karibu mi ningelishika hilo burungutu manake na ningesingizia kuwa ameamsha hisia zangu...sisi wengine tukiona chupi tu tayari mtarimbo umesismama, hata kama tukipita mtaani mwanamke amianika, tayari!
huyo ni wazir wa nchi gan jamani
Meritta unakaa sayari gani?
nafikiri alishawahi kumsaga wife wake jamaa ndo maana ana uhakika kuwa halima yuko hivyo....jamaa ana machungu ile kinomaa...utafikiri mkewe naye ni msagwaji...hizo ni propaganda za ccm kumchafulia gwanda letu, mtachonga sana lakini mbunge wetu wa kawe ataendelea kudunda tu.Ushawahi kushuhudia akiwasaga?