Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,183
Mleta mada, ametamani hipsi la muheshimiwa!
Kwa kweli challenge za mwanamke huongezeka na majukumu/vyeo!
Imagine, asubuhi unapoamka unatakiwa uwaze yafuatayo.
1: Nguo za mumeo
2: Lunch box za watoto
3: Meetings, reports, managerial issues etc
4: Upinzani
5: How do you look, na watu watakuonaje!!!!???
Na mwanamume akiamka anasumbuliwa na:
1: Kazi
2: Kazi
3: Kazi
4: Kazi
5: Kazi
hiyo niliyo bold na kuweka red ndo inachukua 98% ya muda wao wakiwa ofisini..hahaaa