Vazi la waziri limeharibu kabisa siku yangu

Vazi la waziri limeharibu kabisa siku yangu

Usikute hayo yanayokukera kuyaona kwa macho ndio yaliyomfanya aukwae uwaziri.
Maana haingii akilini yeye kuvaa ivyo sasa wanawe?
 
hicho kijambakoti cha nini?
Hana watoto wa kumshauri avaeje?

Wanawake hasa walioolewa wa sasa hawashauriki kabisa, hasa kwa suala la mavazi, angalia alivyo vaa, suka yake lol kama form six wa familia ya akina pasi pa pune!

A luta Continua!
 
Yote yananafasi yake kuvaa nguo za heshima na kufanya kazio kwani jaamii inakutazama wewe kama kioo sasa ukiwa unavaa ovyo ata utendaji kazi wako utakuwa hovyo.Nadhan viongozi wawe ndio kiooo kwa jaamii kwa maisha yao.Tatizo hawataki kujikubali kuwa wakati unawatupa sas wanalazimisha kuwa mabint
Mnamwonea bure mama wa watu mwacheni afanye kazi...tukianza kujadili amevaa nini Twiga stars haifiki popote.

Binafsi sioni tatizo kabisa kwenye vazi lake zaizi ya watu kutafuta sababu ya kumjadili,

mawaziri kioo cha jamii wanavaa vizuri lakini baadhi yao ndo watuhumiwa wakuu wa ufisadi....sasa hapo ndo penye issue sio vazi alilovaa
 
Angeweka mpasuo kabisa awaharibie mwezi mzima mafisi; macho kodo kodo, ndimi nje nje mxm!
 
Angeweka mpasuo kabisa awaharibie mwezi mzima mafisi; macho kodo kodo, ndimi nje nje mxm!

Huo mpasuo utakuwa huo upande wa pili maana hata kamanda kashupaa kuutazama

HU1.JPG
 
Wanawake hasa walioolewa wa sasa hawashauriki kabisa, hasa kwa suala la mavazi, angalia alivyo vaa, suka yake lol kama form six wa familia ya akina pasi pa pune!

A luta Continua!
Mkuu pas pa pine ndio nini? Sijaelewa
 
Wanawake hasa walioolewa wa sasa hawashauriki kabisa, hasa kwa suala la mavazi, angalia alivyo vaa, suka yake lol kama form six wa familia ya akina pasi pa pune!

A luta Continua!
Mkuu pasi pa pune ndio nini? Sijaelewa
 


Yaani
waziri unavaa kitoto mpaka pindo za chupi na mahaga yanaonekana mbele
ya hadhira kweli!!!
Sasa hapo vijana wetu wanajifunza nini na tunapata tafsiri gani hapo?
Jamani nimesikitishwa sana na vazi la waziri na ameniharibia siku yangu
waziri anapaswa kuwa kioo cha jamii mambo ya fashion, kuuza sura
hayatakiwi kwa kioongozi wa serikali mzito kama wewe uliye pewa dhamana
na rais.
Aiseeee...e ! Waziri hadi bastola zimejichora.Mbaya zaidi Waziri huyu,Wizara yake ndiyo yenye DHAMANA YA KUSIMAMIA UTAMADUNI,sijui ni Utamaduni gani anasimamia huyu.
 
Hivi mukama ana busha?
 
si ndo beijing hiyo? msishangae kwani haya ndo malezi na makuzi ya jamii zetu. Kwa nin hamkemei wanawake wanaokwenda makanisani kumuomba mungu na vipedo na mini-sketi? yaani huyu ndo mmemwona? isitoshe yeye yuko ofisini kwake akitoka anarudi home kwake. Je huyu si bora kuliko wale wanaoamsha suruali za watu makanisani wakiwa katika ibada? tunadili chanzo cha tatizo na sio symptoms..... tuwakemee makasisi na mapadri makanisani wawakataze wanawake wasiende huko ni vigua nya namna hiyo... hapa tutaanzan kujenga adabu ya kuvaa.
 
Nakubaliana nawe mkuu, inawezekana uvaaji huu ni mojawapo ya sifa zilizomsaidia kuwepo hapo alipo, sasa akiacha si atapunguza sifa muhimu ambazo zinaweza kumpunguzia credit? Nani anataka hilo litokee? Nina hakika sio yeye mheshimiwa.

Kwako mheshimiwa, kama uko hapo kwa sababu ya umbo zuri ulilo nalo basi mwanakwetu usiacha, la upo hapo kwa uwezo wako kichwani, mavazi hayo hayakufai kwa hadhi uliyonayo sasa

ukiangalia asilimia kubwa ya hawa wakina mama wanasiasa, narudia si wote ila asilimia kubwa, wamefika hapo kwa ajili ya kuvaa hivyo na kugawa ngono.... ili uwatamanishe wataka ngono lazima ujitangaze... na aina moja wapo ya tangazo ni kuvaa kihasara hasara...
 


Yaani waziri unavaa kitoto mpaka pindo za chupi na mahaga yanaonekana mbele ya hadhira kweli!!!
Sasa hapo vijana wetu wanajifunza nini na tunapata tafsiri gani hapo? Jamani nimesikitishwa sana na vazi la waziri na ameniharibia siku yangu waziri anapaswa kuwa kioo cha jamii mambo ya fashion, kuuza sura hayatakiwi kwa kioongozi wa serikali mzito kama wewe uliye pewa dhamana na rais.

afadhali asingevaa chupi
 
Back
Top Bottom