Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Moja ya Askari aliyeshiriki Ukamataji Kisutu amefunga kitambaa ambacho uvaliwa na waumini wa dini flani hasa kipindi Cha mfungo na sikukuu kuashiria vazi lenye star na linaloitambulisha dini hiyo kwa watu wengine.
Inapotokea Askari akavaa vazi Hilo na kufanya Ukamataji Tena unaodhaniwa kwenda kinyume kabisa na utu wa mwanadamu hasa pale wanapomkanyaga mtuhumiwa ndani ya gari si Jambo jema. Tunaona vazi hili likitumiwa vibaya na makundi ya kihalifu na ufanya unyama Kama huu na mara zote wenye dini hii wamekuwa wakikemea dini yao kuhusishwa na masuala yakikatili. Askari kanzu aliyevalia vazi ili pale kasitu may be hakua anajua madhara yakutumia vazi ili kwenye kazi zake, may be aliamini ni vazi Kama mavazi mengine na Sasa ameibua mjadala na mjadala huu utakuwa mkubwa Dunia kadri picha hizi zinavyosambaa.
Wito wangu kwa vyombo vya ulinzi na usalama, tujitahidi kuona madhara kabla hayajatokea na kukemea. Askari wetu kuendelea kupita mitaani na vazi hili wakiwa na silaha nikuhusianisha kazi zao na kinachofanyika Somalia na Nigeria ambapo binadamu katili uvaa vazi hili kwenda kufanya ukatili.
Ipo siku watauliza kwanini awavai mavazi ya kiaskofu au kichungaji kwenye magari yao? Pls fanyieni kazi hii siyi sign nzuri vinginevyo mseme mpo kwenye mkakati wakuuchafua utawala uliopo ambao unaongozwa bila itikadi za kidini
Inapotokea Askari akavaa vazi Hilo na kufanya Ukamataji Tena unaodhaniwa kwenda kinyume kabisa na utu wa mwanadamu hasa pale wanapomkanyaga mtuhumiwa ndani ya gari si Jambo jema. Tunaona vazi hili likitumiwa vibaya na makundi ya kihalifu na ufanya unyama Kama huu na mara zote wenye dini hii wamekuwa wakikemea dini yao kuhusishwa na masuala yakikatili. Askari kanzu aliyevalia vazi ili pale kasitu may be hakua anajua madhara yakutumia vazi ili kwenye kazi zake, may be aliamini ni vazi Kama mavazi mengine na Sasa ameibua mjadala na mjadala huu utakuwa mkubwa Dunia kadri picha hizi zinavyosambaa.
Wito wangu kwa vyombo vya ulinzi na usalama, tujitahidi kuona madhara kabla hayajatokea na kukemea. Askari wetu kuendelea kupita mitaani na vazi hili wakiwa na silaha nikuhusianisha kazi zao na kinachofanyika Somalia na Nigeria ambapo binadamu katili uvaa vazi hili kwenda kufanya ukatili.
Ipo siku watauliza kwanini awavai mavazi ya kiaskofu au kichungaji kwenye magari yao? Pls fanyieni kazi hii siyi sign nzuri vinginevyo mseme mpo kwenye mkakati wakuuchafua utawala uliopo ambao unaongozwa bila itikadi za kidini