badison
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,450
- 2,761
Protini mnaipata wapi?Mboga mboga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Protini mnaipata wapi?Mboga mboga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaacha kula nyama unagongwa na bodaboda unakufa[emoji17][emoji17] siku ya mazishi tunakula nyama [emoji53][emoji53]
Unaweza kuwa hata pescatarian mkuu.ingawa kuwa vegetarian sio shida..shida ikogo kwa Vegan,hawa watu ni kipengele aiseI'm not a vegetarian lakini najaribugi sana kukwepa vyakula vya nyama na mafuta yanayotokana na wanyama, the fact kwamba chakula ninachokula kimetokana na kifo cha mnyama fulani napata uchungu sana.
Nilijaribu kuwa veg kwa muda flani lakini nilishindwa kutokana na mazingira, kwaio kwa sasa najaribu tuu ku-avoid ila ikishindikana bac nakula hivohivo.
Hadi pizza huli kısa nyama?hapo sio kweli.kama ungekuwa gluten free ama lactose intolerant kibongo bongo ningeshawishika na haya maisha yetuHabarin wana JF.
Nimeamua kuandika huu uzi juu ya changamoto ninazizipitia mimi ka vegetarian (mtu asiye tumia nyama) iko hivi mimi niliacha kula nyama na bidhaa zake mwaka 2017 mbaka sasa naeendelea na sina mpango wa kubadili maamuzi shida iliyopo ni jamii yangu wao hawataki kuamini kabisa kama hiki kitu kinawezekana.
Wengine wanasema nimerogwa jamaa zangu wakiwa wanaeenda kula bata wananiacha juu ya kutokula nyama hata nyumbani kwangu nimekuwa kikwazo wakipika nyama lazima wapike na mboga nyengine kwa jiri yangu vyakula wanavyopika vinavyochanganywq na nyama mimi vinanipita sili pizza sili bagga wanaona najitesa sana lakini bado nimesimama na msimamo wangu mimi sio rasta wala sina hitikadi za kirasta je wewe vegetarian mwenzangu ikoje?
Haşa sukari mkuuAisee kwanini umeacha kula nyama? Nilikua vegetarian for 2 years 2010-2012 baada ya propaganda mbaya dhidi ya nyama kuniingia kweli. Nilipokuja kuujua ukweli uliniweka huru,adui yako ni sukari na mafuta ya kupikia. Meat is not your enemy chief .
Nilikua natafuta Comment ya hivi ili nimsihi asogee soge mpka kwetu huku ma Vegan.Unaweza kuwa hata pescatarian mkuu.ingawa kuwa vegetarian sio shida..shida ikogo kwa Vegan,hawa watu ni kipengele aise
Unataka kusema jamaa bahili au?We ni mpare?
(Sitaki kuvamiwa sina maana hiyo mnayoidhani)
Inatengeezwa na cheeseMkuu mbona pizza ni vegetables labda kama ukisema uwekewe nyama ila unaweza kula pizza labda hupendi tu ila nyama sio sababu
Burger pia Kuna veg burger [emoji488]
Niliwahi kupata changamoto fulani ya kiafya mwaka 1992. Nikapimwa vipimo kibao!!! Kwenda kwa Daktari akanihoji maswali mengi sana. Mwisho akaniambia ili mambo yaende vizuri niache kula nyama!!!Habarin wana JF.
Nimeamua kuandika huu uzi juu ya changamoto ninazizipitia mimi ka vegetarian (mtu asiye tumia nyama) iko hivi mimi niliacha kula nyama na bidhaa zake mwaka 2017 mbaka sasa naeendelea na sina mpango wa kubadili maamuzi shida iliyopo ni jamii yangu wao hawataki kuamini kabisa kama hiki kitu kinawezekana.
Wengine wanasema nimerogwa jamaa zangu wakiwa wanaeenda kula bata wananiacha juu ya kutokula nyama hata nyumbani kwangu nimekuwa kikwazo wakipika nyama lazima wapike na mboga nyengine kwa jiri yangu vyakula wanavyopika vinavyochanganywq na nyama mimi vinanipita sili pizza sili bagga wanaona najitesa sana lakini bado nimesimama na msimamo wangu mimi sio rasta wala sina hitikadi za kirasta je wewe vegetarian mwenzangu ikoje?
ExactlyMkuu mbona pizza ni vegetables labda kama ukisema uwekewe nyama ila unaweza kula pizza labda hupendi tu ila nyama sio sababu
Burger pia Kuna veg burger 🍔
Nadhani hali pizza kwa sababu ya cheese inatokana na maziwa. Huyu nadhani ni vegan na si vegetarian. Maana vegetarian wanakula cheese.Mkuu mbona pizza ni vegetables labda kama ukisema uwekewe nyama ila unaweza kula pizza labda hupendi tu ila nyama sio sababu
Burger pia Kuna veg burger [emoji488]
KitimotoAiseee nyama kweli mmmh
Kuku
Samaki
Mbuzi
Kondoo
Ngombe
Wali, maharage, choroko, kunde, njugu mawe, njegere, vegetables, paneer, tofu, soya nkChakula chenu kikuu ni nini?
Mimi aliniandikia since 1992 na bado sikukubaliUnahangaika kukula majani ka mbuzi unaishia kukunya mavi ya kijani yanayonuka.
Kwani hii dunia ni yetu? Kula nyama nyamaza.
Mimi nasubiria daktare aniandikie ndo ntaacha
Mbogamboga hazina carbohydrate nyingi. Usipotoshe.Chakula cha asili cha binadamu ni nyama. Nyama isiyo na makemikali (organic) ni nzuri kwa afya. Ukitaka kupunguza uzito/unene tumia nyama (protein & fat) only. Mbogamboga, viazi, ungaunga nk, zina carbohydrate nyingi na zinasababisha ugonjwa wa kisukari