Vegetarian tukutane hapa

Vegetarian tukutane hapa

I'm not a vegetarian lakini najaribugi sana kukwepa vyakula vya nyama na mafuta yanayotokana na wanyama, the fact kwamba chakula ninachokula kimetokana na kifo cha mnyama fulani napata uchungu sana.

Nilijaribu kuwa veg kwa muda flani lakini nilishindwa kutokana na mazingira, kwaio kwa sasa najaribu tuu ku-avoid ila ikishindikana bac nakula hivohivo.
Unaweza kuwa hata pescatarian mkuu.ingawa kuwa vegetarian sio shida..shida ikogo kwa Vegan,hawa watu ni kipengele aise
 
Habarin wana JF.

Nimeamua kuandika huu uzi juu ya changamoto ninazizipitia mimi ka vegetarian (mtu asiye tumia nyama) iko hivi mimi niliacha kula nyama na bidhaa zake mwaka 2017 mbaka sasa naeendelea na sina mpango wa kubadili maamuzi shida iliyopo ni jamii yangu wao hawataki kuamini kabisa kama hiki kitu kinawezekana.

Wengine wanasema nimerogwa jamaa zangu wakiwa wanaeenda kula bata wananiacha juu ya kutokula nyama hata nyumbani kwangu nimekuwa kikwazo wakipika nyama lazima wapike na mboga nyengine kwa jiri yangu vyakula wanavyopika vinavyochanganywq na nyama mimi vinanipita sili pizza sili bagga wanaona najitesa sana lakini bado nimesimama na msimamo wangu mimi sio rasta wala sina hitikadi za kirasta je wewe vegetarian mwenzangu ikoje?
Hadi pizza huli kısa nyama?hapo sio kweli.kama ungekuwa gluten free ama lactose intolerant kibongo bongo ningeshawishika na haya maisha yetu
 
Aisee kwanini umeacha kula nyama? Nilikua vegetarian for 2 years 2010-2012 baada ya propaganda mbaya dhidi ya nyama kuniingia kweli. Nilipokuja kuujua ukweli uliniweka huru,adui yako ni sukari na mafuta ya kupikia. Meat is not your enemy chief .
Haşa sukari mkuu
 
Unaweza kuwa hata pescatarian mkuu.ingawa kuwa vegetarian sio shida..shida ikogo kwa Vegan,hawa watu ni kipengele aise
Nilikua natafuta Comment ya hivi ili nimsihi asogee soge mpka kwetu huku ma Vegan.
 
Habarin wana JF.

Nimeamua kuandika huu uzi juu ya changamoto ninazizipitia mimi ka vegetarian (mtu asiye tumia nyama) iko hivi mimi niliacha kula nyama na bidhaa zake mwaka 2017 mbaka sasa naeendelea na sina mpango wa kubadili maamuzi shida iliyopo ni jamii yangu wao hawataki kuamini kabisa kama hiki kitu kinawezekana.

Wengine wanasema nimerogwa jamaa zangu wakiwa wanaeenda kula bata wananiacha juu ya kutokula nyama hata nyumbani kwangu nimekuwa kikwazo wakipika nyama lazima wapike na mboga nyengine kwa jiri yangu vyakula wanavyopika vinavyochanganywq na nyama mimi vinanipita sili pizza sili bagga wanaona najitesa sana lakini bado nimesimama na msimamo wangu mimi sio rasta wala sina hitikadi za kirasta je wewe vegetarian mwenzangu ikoje?
Niliwahi kupata changamoto fulani ya kiafya mwaka 1992. Nikapimwa vipimo kibao!!! Kwenda kwa Daktari akanihoji maswali mengi sana. Mwisho akaniambia ili mambo yaende vizuri niache kula nyama!!!

Nilimuangalia nikacheka sana. Sikuacha kula nyama na bado naendelea kula; na nitaendelea kula. Nyama ambayo huwa nakula kimachale tena labda mara 1 in 6 months ni nyama ya mbuzi tu!!! Lakini nyingine nafagia zote na yale matatizo ya 1992 sijapata tena!!!
 
Mkuu mbona pizza ni vegetables labda kama ukisema uwekewe nyama ila unaweza kula pizza labda hupendi tu ila nyama sio sababu
Burger pia Kuna veg burger [emoji488]
Nadhani hali pizza kwa sababu ya cheese inatokana na maziwa. Huyu nadhani ni vegan na si vegetarian. Maana vegetarian wanakula cheese.
 
Unahangaika kukula majani ka mbuzi unaishia kukunya mavi ya kijani yanayonuka.
Kwani hii dunia ni yetu? Kula nyama nyamaza.
Mimi nasubiria daktare aniandikie ndo ntaacha
Mimi aliniandikia since 1992 na bado sikukubali
 
Chakula cha asili cha binadamu ni nyama. Nyama isiyo na makemikali (organic) ni nzuri kwa afya. Ukitaka kupunguza uzito/unene tumia nyama (protein & fat) only. Mbogamboga, viazi, ungaunga nk, zina carbohydrate nyingi na zinasababisha ugonjwa wa kisukari
Mbogamboga hazina carbohydrate nyingi. Usipotoshe.
 
Back
Top Bottom