I hope wewe sio me,ila kama ni me daaah.......Ndiyo muite queen vee bosset amezawadiwa mercedes benz pullman na mume wake lenye thamani ya zaidi ya shillingi za kitanzania bilioni 5. View attachment 2072188wadada wa humu ndani iwe funzo kwenu na sio kuhongwa viiphone mnajiona mmefika! Angalieni mwenzenu vera anaenjoy maisha ana hela sio nyie waganga njaa wa jijini!View attachment 2072189
Haya joseph1989 mafanikio ya vera yanakuuma sio!I hope wewe sio me,ila kama ni me daaah.......
Kweli akili ni nywele, japo wahenga hawa kusema za eneo gani,ila nina uhakika zako sio za kichwani.
Sms yako inaonyesha unatetea kuhongwa!!Ndiyo muite queen vee bosset amezawadiwa mercedes benz pullman na mume wake lenye thamani ya zaidi ya shillingi za kitanzania bilioni 5. View attachment 2072188wadada wa humu ndani iwe funzo kwenu na sio kuhongwa viiphone mnajiona mmefika! Angalieni mwenzenu vera anaenjoy maisha ana hela sio nyie waganga njaa wa jijini!View attachment 2072189
Wapi kwanza nimemtaja huyo naniliu? Mimi na kusikitikia ww.Kama wewe ni me,basi utakuwa tayari ushaisaliti jinsia yako.Haya joseph1989 mafanikio ya vera yanakuuma sio!
Unataka kusema huyu chalii ni chakula/ anakalia vitu vyenye ncha kali?Wapi kwanza nimemtaja huyo naniliu? Mimi na kusikitikia ww.Kama wewe ni me,basi utakuwa tayari ushaisaliti jinsia yako.
Haya joseph1989 mafanikio ya vera yanakuuma sio!
Dunia ya limousines ilisha pitwa na wakatiNdiyo muite queen vee bosset amezawadiwa mercedes benz pullman na mume wake lenye thamani ya zaidi ya shillingi za kitanzania bilioni 5. View attachment 2072188wadada wa humu ndani iwe funzo kwenu na sio kuhongwa viiphone mnajiona mmefika! Angalieni mwenzenu vera anaenjoy maisha ana hela sio nyie waganga njaa wa jijini!View attachment 2072189