Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Hahaha hao tuwaache tuwale ambao si wanawake si wanaume iandikwe nini sasa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hao tuwaache tuwale ambao si wanawake si wanaume iandikwe nini sasa??
Mume marioo suguNdiyo muite queen vee bosset amezawadiwa mercedes benz pullman na mume wake lenye thamani ya zaidi ya shillingi za kitanzania bilioni 5. View attachment 2072188wadada wa humu ndani iwe funzo kwenu na sio kuhongwa viiphone mnajiona mmefika! Angalieni mwenzenu vera anaenjoy maisha ana hela sio nyie waganga njaa wa jijini!View attachment 2072189
Ukute umetumwa na dada ako vera uje kumsema. Mbona kama wewe ndio unaumia zaidi kuliko vera mwenyeweDuh! We ni umbwa ndio maana hutambui thamani ya mercedes benz pullman
Na asiwahi kutufokea tena 🤣Kabla hujaanza kuwananga wadada wenzako, Wewe umehongwa nini
Si mlimkataa ona sasaYaan we kaka wewe...something is wrong si bure
Uzushi tu hizi huwa brevis zinakatwa zinaongezewa tuNdiyo muite queen vee bosset amezawadiwa mercedes benz pullman na mume wake lenye thamani ya zaidi ya shillingi za kitanzania bilioni 5.
Wadada wa humu ndani iwe funzo kwenu na sio kuhongwa viiphone mnajiona mmefika! Angalieni mwenzenu vera anaenjoy maisha ana hela sio nyie waganga njaa wa jijini!
Akikujibu nitag.....Kabla hujaanza kuwananga wadada wenzako, Wewe umehongwa nini
Huyu kama ni mwanaume lazima ni shoga/ gay.Wapi kwanza nimemtaja huyo naniliu? Mimi na kusikitikia ww.Kama wewe ni me,basi utakuwa tayari ushaisaliti jinsia yako.