Na hao ndio malolimodo wa dada zetu mitaani[emoji3061][emoji3061].
Sasa wakiona lolimodo wao kahongwa hivyo we unazan wao wanafikil nini kwenye vichwa vyao visivyo na akili zaid ya kubeba furushi la mawigi na nywele bandia.
Hapo lazma mfumuko wa wanawake wadangaji na wapenda pesa watazid kuongezeka kama hawa malolimodo wao wanaweka waz maisha yao na jinsi wanavyotunzwa na mabwana zao, na hawa dada zetu lazma kwa akili zao waanze mkumbo wa uchunaji na kuendekeza pesa ktk mapenzi.
Utandawazi ni nyoko