Veronika wakunifanyia haya Mimi?

Unaamka au unarara!

Sio rahisi kabisa sisi kuelewa unacgopitia ila tu usiue
 
Bado sijaona kosa la vero,mwenye kosa ni wewe ambaye unahudhuria vikao vya wanaume na kuanza kusinzia.Bado hujasema vero ongeza tukio lingine mpaka aseme
 
Mkuu nimejiajili kwenye kilimo Cha mpunga kwahiyo Hela ya kuendeshea maisha hainipigi chenga. Kwahiyo Kama unahisi chai njoo dm nikupe namba ya mwanamke mwenzio umuulize alichokifanya.
Hivi kumbe uko serious ๐Ÿ˜€ Mi najuaga mikasa ya JF ni chai.

Pole senior jobless, sasa ufocus kwenye kilimo vizuri.
 
Katafute jukwaa la wehu wenzio, amekaa miezi 3 amepatia mimba huko amrudi kujifungua, mimba miezi 3? Huyo ni binadamu?
Kama hujaelewa uliza, alikaa miezi mitatu yaani toka may mpaka agost mwaka Jana, amejifungua mwezi wa tatu mwaka huu. Kumanisha miezi tisa ya ujauzito imetimia mwezi wa tatu
 
Nisamehewe tu kwasasa maisha yamenifunza jambo kubwa Sana.
 
Umeyataka mwenyewe, kila siku tunaimba humu habari za Singo mamazi wewe unaenda kujiingiza kwa mwenye watoto wawili kabisa??
 
Huu Uzi ni kama hadithi haujabeba uhalisia mtoa mada huna ushirikiano na reply zako
Ahsante kwa kushiriki. ๐Ÿ‘
Hili suala ni serious na limeniathili Sana. Kwasasa Binti ana mtoto ambae ana wiki mbili.
 
Kwasasa nimejifunza Bora nitafute wasio na wato hata Kama ni wasumbufu nitavumilia.
 
Umeyataka mwenyewe, kila siku tunaimba humu habari za Singo mamazi wewe unaenda kujiingiza kwa mwenye watoto wawili kabisa??
Mapenzi upofu. Lakini kwasasa nitakua mwalimu mzuri
 
Uliwezaje kumtimizia mahitaji yote hayo ya kiuchumi na ww ni senior jobless au mwizi?
 
Maybe alikuwa mjamzito
Huyo jamaa hakuelewa. Miezi mitatu aliyokaa ni Ile ambayo alipata ujauzito na amejifungua mwezi uliopita baada ya miezi tisa. Ina maana ujauzito alipata mwezi June wakati Mimi nimelala nae April na august. Kwahiyo kama mtoto ni wangu alitakiwa ajifungue January au may
 
Uliwezaje kumtimizia mahitaji yote hayo ya kiuchumi na ww ni senior jobless au mwizi?
Mkuu usiwe serious sana na hizi ID kwasasa ni miaka mitano Sasa nimejikita kwenye kilimo na kinalipa kwakweli
 
wewe kweli ni msamalia mwema, big up sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ