Veronika wakunifanyia haya Mimi?

Bado sijaona kosa la vero,mwenye kosa ni wewe ambaye unahudhuria vikao vya wanaume na kuanza kusinzia.Bado hujasema vero ongeza tukio lingine mpaka aseme
Nilijua kwakua kupitia changamoto atatulia
 
Sasa Mtu jobless Hela za kufanya yote hayo ulitoa wapi? sikukuu yote hii unataka kutupa chai badala ya bia!
Na mi nimeona chai hii, anataka pa kupatia kuponda single maza 🤣🤣🤣🤣
Ila single maza wanapitia magumu mtu akila akivimbiwa anakuja na chai yake ili kuwaponda…!!! Na huyo anayeponda hata sura ya baba ake halisi haijui!!!
 




shida haufiki kwenye vikao vyetu
 
Binti wa 2001 ana watoto 3!!
Hio ni speed ya 5G!
 
Kunguru hafugiki-ila Kuna watu mna mioyo migumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…