Madibira 1
JF-Expert Member
- Jan 6, 2023
- 358
- 831
- Thread starter
- #101
Nimejifunza Kwa njia ngumu sanaMwanamume unatakiwa uanzishe familia yako sio kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzako
You'll learn the hard way
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejifunza Kwa njia ngumu sanaMwanamume unatakiwa uanzishe familia yako sio kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzako
You'll learn the hard way
Nilijua kwakua kupitia changamoto atatuliaBado sijaona kosa la vero,mwenye kosa ni wewe ambaye unahudhuria vikao vya wanaume na kuanza kusinzia.Bado hujasema vero ongeza tukio lingine mpaka aseme
Ni upendo tu ulionighalimuwewe kweli ni msamalia mwema, big up sana.
Huyu ninamuombea maisha mema maana naamini maisha ni hapa hapa DunianiMkuu Umeona wapi manzi anayependa kuitwa Malaya?Na kigezo Cha umalaya Kwa Africa ni kuzaa na Wanaume tofauti so huyo manzi kaona usimtanie.
Mkuu haijatungwa hii ni uhalisia, au nikupe namba umuulize mwenyewe.Kuna wakati unaweza dhani JF kuna malipo ya kutunga.
Na atakuua kweli 😂Hapana kwakweli nimefika mwisho. Ingawa ana Hali ngumu lakini hapana kwakweli ataniua
Hizi Hesabu ni za darala la nne au darasa la saba lililo changamka?Kwa hesabu nilijua mimba ni yangu nimelea na mimba lakini kujifungua mwezi huu hesabu zinagoma kuwa ni wangu.
Sitaki boss.Mkuu haijatungwa hii ni uhalisia, au nikupe namba umuulize mwenyewe.
Na mi nimeona chai hii, anataka pa kupatia kuponda single maza 🤣🤣🤣🤣Sasa Mtu jobless Hela za kufanya yote hayo ulitoa wapi? sikukuu yote hii unataka kutupa chai badala ya bia!
Hapana kala BAN juzi kati hapo .Na atakuua kweli 😂
Una undugu na rais wa majobless, jobless pro max ? Poor Brain future bilionea kachange id?
Huyu ni Binti wa 2001 tu hapo. Aliolewa aktelekezwa na jamaa akiwa bado mdogo na watoto wawili. Mimi nikajitosa kuwa nae kimahusiano. Nilijinyima nikahakikisha watoto nalea kama wakwangu wakati huo yulewa pili alikua na mwaka mmoja tu. Nimehenya kupambania familia isiteteleke. Nimejibana Kwa kipindi chote cha miaka mitatu.
Kwa muda wote huo nilimpangia nyumba, mavazi yeye na watoto ,nililipa bili za umeme, michezo ya vikoba, chakula na Hela za matumizi. Mwaka jana mwezi wa tano alisema dada yake amejifungua Kwa operation anaenda kumuuguza.
Alikaa huko miezi mitatu aliporudi alirudi mwezi august na mwezi huu kajifungua mtoto wa kike kumanisha mimba alipatia Kwa dada yake huko.
Maumivu ninayopitia ndugu zanguni ni zaidi ya Yale ya kukosa ajira.
Una uhakika unajua hesabu vizuri!?maana SoMo gumu sana hiloKwa hesabu nilijua mimba ni yangu nimelea na mimba lakini kujifungua mwezi huu hesabu zinagoma kuwa ni wangu.
Jambo jema huwenda ukaja a na wazo bora kabisaNi
meondoka nipo mbalia kidogo kwasasa napumzisha fuvu.
Binti wa 2001 ana watoto 3!!Huyu ni Binti wa 2001 tu hapo. Aliolewa aktelekezwa na jamaa akiwa bado mdogo na watoto wawili. Mimi nikajitosa kuwa nae kimahusiano. Nilijinyima nikahakikisha watoto nalea kama wakwangu wakati huo yulewa pili alikua na mwaka mmoja tu. Nimehenya kupambania familia isiteteleke. Nimejibana Kwa kipindi chote cha miaka mitatu.
Kwa muda wote huo nilimpangia nyumba, mavazi yeye na watoto ,nililipa bili za umeme, michezo ya vikoba, chakula na Hela za matumizi. Mwaka jana mwezi wa tano alisema dada yake amejifungua Kwa operation anaenda kumuuguza.
Alikaa huko miezi mitatu aliporudi alirudi mwezi august na mwezi huu kajifungua mtoto wa kike kumanisha mimba alipatia Kwa dada yake huko.
Maumivu ninayopitia ndugu zanguni ni zaidi ya Yale ya kukosa ajira.
Kwa hesabu nilijua mimba ni yangu nimelea na mimba lakini kujifungua mwezi huu hesabu zinagoma kuwa ni wangu.