'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

Sasa Kama hukuwepo utasemaje uli evolve
Kuwa ulivyo, si ndio imani yenyewe?
‘Evolution’ kwenye Morphology ya viumbe haina tofauti na ‘Modification’ inayofanyika kwenye magari ili kuendana na mazingira. Mfano, kuna Gari kubwa za mizigo zinatumia gearbox zenye ‘hatch’ kwa ajili ya kufunga Gear ya tipper, lakini hiyo gari haina tipper, lakini pia gari ya aina hiyo hiyo zipo zinatumia gear box hiyo hiyo na zimefunga kigear cha kupiga tipper. Hapo moja kwa moja unaona kabisa kwamba ile ambayo ina kishimo cha kufunga gear ya tipper ila haina tipper, ni kwamba ilibadilishwa matumizi kutoka kuwa gari ya kubinua na kuwa Lorry ka kwaida, hivyo kile kigear cha tipper (tipper control system) ikaondokewa maana haikuwa na kazi tena, ila kishimo kimebaki cha kufunger tipper gear. Sasa kile kishimo ndio kwenye viumbe tunaita ‘Vestiges’, maana yake kiumbe kimebadilika kulingana na mazingira kwa process ya ‘mutation’ na ‘Adaptation’ via ‘natural selection’.

Sasa hapo unahitaji uwepo ili kujua kwamba hilo gari lilibadilika kutoka kuwa la kubinua hadi kuwa la kawaida la mizigo?

Mnapewa ubongo wa kufikiri ila badala yake mnakuja humu jukwaani kuandika kwa kutumia makalio.., kaaa mbali na mimi kama huna hoja.
 
‘Evolution’ kwenye Morphology ya viumbe haina tofauti na ‘Modification’ inayofanyika kwenye magari ili kuendana na mazingira. Mfano, kuna Gari kubwa za mizigo zinatumia gearbox zenye ‘hatch’ kwa ajili ya kufunga Gear ya tipper, lakini hiyo gari haina tipper, lakini pia gari ya aina hiyo hiyo zipo zinatumia gear box hiyo hiyo na zimefunga kigear cha kupiga tipper. Hapo moja kwa moja unaona kabisa kwamba ile ambayo ina kishimo cha kufunga gear ya tipper ila haina tipper, ni kwamba ilibadilishwa matumizi kutoka kuwa gari ya kubinua na kuwa Lorry ka kwaida, hivyo kile kigear cha tipper (tipper control system) ikaondokewa maana haikuwa na kazi tena, ila kishimo kimebaki cha kufunger tipper gear. Sasa kile kishimo ndio kwenye viumbe tunaita ‘Vestiges’, maana yake kiumbe kimebadilika kulingana na mazingira kwa process ya ‘mutation’ na ‘Adaptation’ via ‘natural selection’.

Sasa hapo unahitaji uwepo ili kujua kwamba hilo gari lilibadilika kutoka kuwa la kubinua hadi kuwa la kawaida la mizigo?

Mnapewa ubongo wa kufikiri ila badala yake mnakuja humu jukwaani kuandika kwa kutumia makalio.., kaaa mbali na mimi kama huna hoja.
Acha kupaniki mzee, kwani unafikiri Mimi Sina hasira?
Mimi sikatai kwamba huenda tulikuwa na mkia. Shida Ni kwamba ili nikubaliane na wewe lazima nikuamini. Sasa unaiepukaje imani?
 
Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine.

Mfano 'tail bone' / mfupa wa mkia hauna umuhimu wowote katika mwili wa binadamu maana hatuna mikia sisi, lakini tunao mfupa huo; mfupa huo ni lazima na ni muhimu sana kwa wanyama wenye mikia kama ngedere nk. Hii inashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution.

Vestiges zipo nyingi sana katika animal kingdom, mfano nyangumi ana mifupa ya miguu iliyojificha ndani japo hana miguu,hii inashiria kwamba hapo awali alikuwa ni mnyama wa ardhini aliyetembea, na tena bado anazaa na kunyonyesha kama wanyama wengine wa ardhini na sio kutaga mayai kama wafanyavyo samaki.
Vestiges ni nyingi sana, tusaidiane kuziorodhesha na kuzichambua vilivyo na kwa undani kabisa.

Sasa binadamu mwenye akili timamu anaweza weza vipi kuamini kwamba binadamu aliumbwa kama alivyo leo hii na mwonekano wake huu wa sasa, yaani hakubadilika kutoka aina moja ya muonekano hadi kufikia huu muonekano wa sasa. Huwa mnatumia mbinu gani kujitoa akili kwa kiwango hicho?! Mbona mi nashindwa kabisa??!!!

=============================
Mfano mwingine ni kifuko cha appendix kwenye utumbo wa binadamu, kwetu hakina kazi lakini kwa wanyama wanaokula mimea huwa wanakihitaji sana hicho kifuko na kinakuwa ni kikubwa sana kwao na huwasaidia kwenye kusaga chakula, hii inaashiria kwamba tulikuwa mnyama mmoja ila kila mmoja akabadilika kulingana na mazingira yake..
=============================

Mfano mwingine ni 'vitendea kazi' vya uzazi kwa mijusi wanaozaa kwa kuji-clone, yaani hawa mijusi huwa wanataga yai ambalo ni clone yao wenyewe na hivyo hawaitaji kujaamiiana ili kuzaa. Sasa kwakuwa bado wana hivi viungo ambavyo vimebaki huwa wanavitumia kama kujiburudisha tu, lakini havina kazi kwa sasa,japo hapo nyuma vilijuwa na kazi.
=============================

=================================
Update: 27/08/2021
Mifupa ya nyangumi mwenye miguu ‘dating millions of years ago’ yapatikana.

View attachment 1912340
_______________________________
WaChina ni WaAfrika waliohama na kubadilika kutokana na mazingira


Mada ipo deep mpaka nashindwa nianzie wapi kukupa elimu ya uumbaji.

Lakini naamini hakuna current vestiges transformation iliyokuwa recorded zaidi ya uvumbuzi wa kuwepo kwenye miili ya viumbe bila development yeyote
 
Kwahyo binadamu na nyangumi walikua wanafanana
Kabla hapakuwa na nyangumi wala hapakuwa na binadamu, bali kiumbe kingine kilicho tawiwika na kuwa viumbe vingine vingi, wakiwamo nyangumi na binadamu, sasa wanafananaje wakati hawakuevolve baso kuwa walivyo sasa, yaani hawakuwepo
 
Acha kupaniki mzee, kwani unafikiri Mimi Sina hasira?
Mimi sikatai kwamba huenda tulikuwa na mkia. Shida Ni kwamba ili nikubaliane na wewe lazima nikuamini. Sasa unaiepukaje imani?
Kwani nimekuambia uniamini? Wala sijakuita hapa, soma hoja yangu, kama unayo hoja ya kujibu changia, kama huna kaa mbali
 
Mada ipo deep mpaka nashindwa nianzie wapi kukupa elimu ya uumbaji.

Lakini naamini hakuna current vestiges transformation iliyokuwa recorded zaidi ya uvumbuzi wa kuwepo kwenye miili ya viumbe bila development yeyote
Vestiges zitaendelea kutokea , sababu evolution bado inaendelea. Hata hawa tembo, watakuja kubaki wale wenye vishimo tu vya pembe (through mutation and selection by majangili). Mutant elephant atakaezaliwa bila pembe ndiye kizazi chake kitapona, wengine wote watafyekwa na majangili. That is how animals evolve via mutation and natural selection, huo ni mfano tu., hivyo watakuwa hawajaumbwa kuwa hivyo, bali wameevolve!
 
Vestiges zitaendelea kutokea , sababu evolution bado inaendelea. Hata hawa tembo, watakuja kubaki wale wenye vishimo tu vya pembe (through mutation and selection by majangili). Mutant elephant atakaezaliwa bila pembe ndiye kizazi chake kitapona, wengine wote watafyekwa na majangili. That is how animals evolve via mutation and natural selection, huo ni mfano tu., hivyo watakuwa hawajaumbwa kuwa hivyo, bali wameevolve!
Mkuu ngoja kwanza.
Hizi hoja hizi twende taratibu. Unatuchanganya ujue
 
Mkuu ngoja kwanza.
Hizi hoja hizi twende taratibu. Unatuchanganya ujue
Unajichanganya mwenyewe, hizi ni evidence based facts, sio blah blah.., evokution inaendelea as we speak.., huoni hata binadamu wote walipokuwa Africa walifanana kimuonakano, ila wengine walipoondoka na kwenye mabara mengine wakabadilika kutokana na mazingira yao.., kiasi tuliobaki Africa tunafananishwa zaidi na nyani, ni rates tofauti za evolution…, binadamu wa miaka laki 5 ijayo atakuwa sio wa sasa, tunaweza hata kubranch out into different species..,
 
Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine.

Mfano 'tail bone' / mfupa wa mkia hauna umuhimu wowote katika mwili wa binadamu maana hatuna mikia sisi, lakini tunao mfupa huo; mfupa huo ni lazima na ni muhimu sana kwa wanyama wenye mikia kama ngedere nk. Hii inashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution.

Vestiges zipo nyingi sana katika animal kingdom, mfano nyangumi ana mifupa ya miguu iliyojificha ndani japo hana miguu,hii inashiria kwamba hapo awali alikuwa ni mnyama wa ardhini aliyetembea, na tena bado anazaa na kunyonyesha kama wanyama wengine wa ardhini na sio kutaga mayai kama wafanyavyo samaki.
Vestiges ni nyingi sana, tusaidiane kuziorodhesha na kuzichambua vilivyo na kwa undani kabisa.

Sasa binadamu mwenye akili timamu anaweza weza vipi kuamini kwamba binadamu aliumbwa kama alivyo leo hii na mwonekano wake huu wa sasa, yaani hakubadilika kutoka aina moja ya muonekano hadi kufikia huu muonekano wa sasa. Huwa mnatumia mbinu gani kujitoa akili kwa kiwango hicho?! Mbona mi nashindwa kabisa??!!!

=============================
Mfano mwingine ni kifuko cha appendix kwenye utumbo wa binadamu, kwetu hakina kazi lakini kwa wanyama wanaokula mimea huwa wanakihitaji sana hicho kifuko na kinakuwa ni kikubwa sana kwao na huwasaidia kwenye kusaga chakula, hii inaashiria kwamba tulikuwa mnyama mmoja ila kila mmoja akabadilika kulingana na mazingira yake..
=============================

Mfano mwingine ni 'vitendea kazi' vya uzazi kwa mijusi wanaozaa kwa kuji-clone, yaani hawa mijusi huwa wanataga yai ambalo ni clone yao wenyewe na hivyo hawaitaji kujaamiiana ili kuzaa. Sasa kwakuwa bado wana hivi viungo ambavyo vimebaki huwa wanavitumia kama kujiburudisha tu, lakini havina kazi kwa sasa,japo hapo nyuma vilijuwa na kazi.
=============================

=================================
Update: 27/08/2021
Mifupa ya nyangumi mwenye miguu ‘dating millions of years ago’ yapatikana.

View attachment 1912340
_______________________________
WaChina ni WaAfrika waliohama na kubadilika kutokana na mazingira


We are by
Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine.

Mfano 'tail bone' / mfupa wa mkia hauna umuhimu wowote katika mwili wa binadamu maana hatuna mikia sisi, lakini tunao mfupa huo; mfupa huo ni lazima na ni muhimu sana kwa wanyama wenye mikia kama ngedere nk. Hii inashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution.

Vestiges zipo nyingi sana katika animal kingdom, mfano nyangumi ana mifupa ya miguu iliyojificha ndani japo hana miguu,hii inashiria kwamba hapo awali alikuwa ni mnyama wa ardhini aliyetembea, na tena bado anazaa na kunyonyesha kama wanyama wengine wa ardhini na sio kutaga mayai kama wafanyavyo samaki.
Vestiges ni nyingi sana, tusaidiane kuziorodhesha na kuzichambua vilivyo na kwa undani kabisa.

Sasa binadamu mwenye akili timamu anaweza weza vipi kuamini kwamba binadamu aliumbwa kama alivyo leo hii na mwonekano wake huu wa sasa, yaani hakubadilika kutoka aina moja ya muonekano hadi kufikia huu muonekano wa sasa. Huwa mnatumia mbinu gani kujitoa akili kwa kiwango hicho?! Mbona mi nashindwa kabisa??!!!

=============================
Mfano mwingine ni kifuko cha appendix kwenye utumbo wa binadamu, kwetu hakina kazi lakini kwa wanyama wanaokula mimea huwa wanakihitaji sana hicho kifuko na kinakuwa ni kikubwa sana kwao na huwasaidia kwenye kusaga chakula, hii inaashiria kwamba tulikuwa mnyama mmoja ila kila mmoja akabadilika kulingana na mazingira yake..
=============================

Mfano mwingine ni 'vitendea kazi' vya uzazi kwa mijusi wanaozaa kwa kuji-clone, yaani hawa mijusi huwa wanataga yai ambalo ni clone yao wenyewe na hivyo hawaitaji kujaamiiana ili kuzaa. Sasa kwakuwa bado wana hivi viungo ambavyo vimebaki huwa wanavitumia kama kujiburudisha tu, lakini havina kazi kwa sasa,japo hapo nyuma vilijuwa na kazi.
=============================

=================================
Update: 27/08/2021
Mifupa ya nyangumi mwenye miguu ‘dating millions of years ago’ yapatikana.

View attachment 1912340
_______________________________
WaChina ni WaAfrika waliohama na kubadilika kutokana na mazingira


Naskia binadamu tulikuwa samaki pia ila time evolve kufika ivi tulivyo
 
We are by

Naskia binadamu tulikuwa samaki pia ila time evolve kufika ivi tulivyo
Morphology ya binadamu na Samaki ilikuwa moja katika kiumbe cha ‘Vertebrae’ cha kwanza.., wakati huo hapakuwa na samaki wala hapakuwa na binadamu, bali Vertebrae huyo wa kwanza akabranch out na kuwa viumbe vingi tofauti vyenyebuti wa mgoongo, wakiwemo samaki wenye uti wa mgongo na binadamu
 
Wangoni walitokana na wanyama ndio maana hawakutaka kuficha identity zao wakina mapunda,komba,ngonyani,sungura,kapecha,nyati ,ndomondo(Kiboko) Tembo.
 
Unajichanganya mwenyewe, hizi ni evidence based facts, sio blah blah.., evokution inaendelea as we speak.., huoni hata binadamu wote walipokuwa Africa walifanana kimuonakano, ila wengine walipoondoka na kwenye mabara mengine wakabadilika kutokana na mazingira yao.., kiasi tuliobaki Africa tunafananishwa zaidi na nyani, ni rates tofauti za evolution…, binadamu wa miaka laki 5 ijayo atakuwa sio wa sasa, tunaweza hata kubranch out into different species..,
Walifanana wapi acha ufala kuwalaghai watu. Acha uongoo! Evolution, evolution evolution ya Bibi yako! Kwendraaaaaa.

Hakuna Cha evolution Wala nyani hapa labda wewe na familia yako ndo mlikuwa manyani. Huna akili usituletee upuuzi huu Tena hapa. Lete mada za msingi tutajadili.
Sio umetoka huko umekula bhangi zako mbichi ukatafuna na mbegu alafu eti oooh!
Evolution kwa hiyo Kama evolution ndo unataka kugombea ili tukuchague uwe Mungu wewe au.
 
Walifanana wapi acha ufala kuwalaghai watu. Acha uongoo! Evolution, evolution evolution ya Bibi yako! Kwendraaaaaa.

Hakuna Cha evolution Wala nyani hapa labda wewe na familia yako ndo mlikuwa manyani. Huna akili usituletee upuuzi huu Tena hapa. Lete mada za msingi tutajadili.
Sio umetoka huko umekula bhangi zako mbichi ukatafuna na mbegu alafu eti oooh!
Evolution kwa hiyo Kama evolution ndo unataka kugombea ili tukuchague uwe Mungu wewe au.
Huna hoja , kaa mbali, tupishe kwanza..
 
Wangoni walitokana na wanyama ndio maana hawakutaka kuficha identity zao wakina mapunda,komba,ngonyani,sungura,kapecha,nyati ,ndomondo(Kiboko) Tembo.
😂😂😂🙌🏾
 
Back
Top Bottom