'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

Evolution ni Fact,

Mababu zetu walikua ni wabunifu, walikua na uwezo wa kubuni vitu kama kuchonga vinyago, kutengeneza silaha za jadi n.k

Kwahio walipojiuliza swali la "viumbe vimefika vipi duniani? "

Wali 'generalize' uzoefu wao kwa kusema vilibuniwa na mwingine mwenye utashi kuliko wao,

Ni 'honest mistake' walikua sahihi kiasi chao mpaka pale sayansi ilipokuja na jibu bora zaidi

Darwin alikuja na jibu zuri zaidi kiasi kwamba contemporaries wake walijiona wajinga kwa nini hawakuwahi waza hivyo kabla wakati 'jibu'lilikua wazi mno..

Darwin hakua Atheist, alikua ni mkristo so hakukua na bias katika utafiti wake

Kuelewa evolution, Carl sagan aliwahi kutumia mfano wa 'kaa' 🦀 (crab) wa japan

Huko japani, kuna kaa ambao magamba yao yana sura ya mashujaa wa zamani wa japan waliokua wanajulikana kama Samurai,
Ukitazama unaona kabisa picha ya shujaa wa kisamurai kama walivyokua wanaonekana, kwenye magamba ya hao kaa

Sasa hivi ndivyo evolution inayofanya kazi kwa namna simple ila ya kushangaza mpaka kuunda kitu 'complex' kama hiyo taswira ya samurai kwenye Magamba ya kaa bila utashi wowote ule...

Kulikua na vita kati ya makabila mawali ya kijapani, miaka kama 1000 iliyopita

Baada ya vita, kabila lililokua linatawala kwa wakati ule lilizidiwa nguvu na kuangushwa na kabila jingine...mfalme wa wakati ule alikua ni mtoto mdogo wa miaka 7 wa kabila lililozidiwa

Kuona vile, bibi yake akamchukua, pamoja na Samurai wengine waliobakia na kuamua kujiua kwa kujitosa baharini

Wachache walio salia walikua ni vijakazi wasichana ambao baadae waliishia kuolewa na kuzaa na wavuvi walio kua fukwe ile yalipotokea hayo mauaji

Katika kuenzi na kuukumbuka ufalme ulioanguka, wale wavuvi ambao sasa wameshazaa na hawa wasichana wakawa wanahakikisha kaa yoyote yule atakaye kua na magamba yenye 'pattern' zinazo resemble 'sura' ya binadam wasiuawe bali warudishwe baharini

Kumbuka ubongo wa binadam upo vizuri sana kwenye kutambua pattern/alama na kutengeneza maana kutokea kwenye ile alama

Ndio maana unaweza hisi kuna sura ya mtu mwezini japo kiuhalisia hakuna chochote zaidi ya ubongo wako tu

So kitendo hiki kikasababisha kaa waliokua na magamba yenye alama zinazo fanana na sura ya binadamu wazaliane kwa wengine kuliko wale wasiokua nayo, kwa sababu kaa wasiokua na alama za namna hio walivuliwa na kuliwa, so chance ya kuzaliana kwao ilikua ni ndogo uki linganisha na wengine..

Kadri miaka ilivyozidi kwenda, ikawa sasa kaa waliokua na alama ambazo kwa kiasi fulani hao wavuvi waliitafsiri kama sura ya samurai aliyekasirika hawakuvulia uki compare na hawa wengine

Hii ikafanya kaa waliokua na magamba yanayofanana na sura ya samurai waliokasirika wazaliane kwa wingi kuliko wengine

Hiki kitendo cha kubagua kaa kulingana na sifa au traits zao, kinaitwa Artificial selection

Na walifanya hivi cause walikua na imani mizimu ya wale samurai waliojitosa baharini ilikua inaishi ndani ya hao kaa... Imani hii ikafanya bongo zao zianze kuona sura ya mtu kwenye magamba ya kaa,mpaka pale walipoanza kuona sura ya samurai

Ilitokea tu kwa bahati, magamba ya baadhi ya kaa yakawa na alama ambayo kwa wavuvi ili fanana na sura ya mtu, kama unavyoweza ona sura ya mtu kwenye mwezi au 'emoji' hii tunaita 'mutation' yaani mabadiliko yasiotabirika au kuwa na maana yoyote

Then haya mabadiliko yanapotezwa au kutunzwa kupitia artificial selection

Mwisho tunakua na kaa wenye sura ya samurai kabisa japo kuwa hakuna aliyechora ile sura kwenye magamba yao

So organic evolution inafanya kazi hivi hivi, tofauti yake ni kwamba badala ya kuwa na Artificial selection ambayo ipo 'biased'( wavuvi walikua wanapendezwa zaidi na kaa wenye alama inayounda sura ya mtu au ya samurai)
Yenyewe ina natural selection,yaani hizo 'mutations ' zinapotezwa au kutunzwa kulingana na jinsi gani zinamsaidia huyo kiumbe kuishi kwenye mazingira yake

Kama alama zinazofanana na sura ya samurai zilivyo saidia baadhi ya kaa ku survive

Na mabadiliko yenye faida ni nadra sana kutokea inaweza chukua mamilion ya miaka kupata mutation yenye faidi kulingana na mazingira husika

Kuamini kuwa viumbe vimebuniwa na mwenye utashi kuliko sisi ni sawa na kuona sura ya mtu mwezini japo kuwa hakuna sura yoyote ile

Ubongo wetu umekua hardwired kutafuta maana kwenye pattern hata kama haipo
Na hii 'useful mutation' ndiyo iliyofanya mababu zetu wa survive mamilion ya miaka mpaka leo
Plus kuamini tumeumbwa, hakujibu swali lolote?
Kama tunataka kujua asili ya maisha, kudai maisha yameumbwa na mwingine bado hakukati kiu yetu ya kutaka kujua asili ya maisha

Je asili ya maisha ya huyu mwenye utashi kuliko sisi yametoka wapi?

Je kama maisha yake hayana chanzo chochote je kwanini tusi 'save'step na kusema basi hata maisha ya hapa duniani hayana chanzo chochote?
Tangu nimeandika huu uzi, hii ndio comment inayonifanya niamini kwamba kweli kuna watu wanfikiria kama mimi, maana naumia sana kuona watu wananibishia kwa vitu amabavyo ni soooo simple and logical, kiasi toka mwanzi nikasema kwamba watu wanaweza kujitoa akili na kubishia vitu dhahiri, logical amd evidence based kama evolution?! Aisee umeelewa vizuri mno hili suala la evolution. Your comment is truely and absolutely the best comment in this thread!!!!!!!!!
 
Kuna artificial selection ambayo inafanywa na binadamu ndiyo inaweza chukua mda mfupi kama huo lakini sio natural selection
Yees, kama tembo wenye pembe ndefu wanavyopungua na wale wenye pembe fupi wanavyoongezeka kupitia majangili (Artificial selection)
 
Okay hiyo ku'evolve alidesign nani?!
Kinachodesign evolution ni mazingira, kupitia ‘chance mutations’, ‘natutal / artificial selection’ na ‘adaptation’, ni kama chujio la chai linavyofanya kazi.
 
Tangu nimeandika huu uzi, hii ndio comment inayonifanya niamini kwamba kweli kuna watu wanfikiria kama mimi, maana naumia sana kuona watu wananibishia kwa vitu amabavyo ni soooo simple and logical, kiasi toka mwanzi nikasema kwamba watu wanaweza kujitoa akili na kubishia vitu dhahiri, logical amd evidence based kama evolution?! Aisee umeelewa vizuri mno hili suala la evolution. Your comment is truely and absolutely the best comment in this thread!!!!!!!!!
Thanks Franc.... Ku challenge belief system zilizoaminiwa zaidi ya miaka 2,000 au 3,000 ni tough


Thus why wengine huwa tunasubiri ku comment tu kwenye nyuzi za namna hii

Watu wengi wangeielewa evolution kungekua na kizazi cha binadamu wanao jua thamani halisi ya maisha...
Fact ya kwamba kuishi ni bahati ya mara moja na ulimwengu haukuumbwa kwa ajiri yako bali wewe ndiyo sehemu ya huo ulimwengu inayojitambua

Ni bonge la awareness
 
Thanks Franc.... Ku challenge belief system zilizoaminiwa zaidi ya miaka 2,000 au 3,000 ni tough


Thus why wengine huwa tunasubiri ku comment tu kwenye nyuzi za namna hii

Watu wengi wangeielewa evolution kungekua na kizazi cha binadamu wanao jua thamani halisi ya maisha...
Fact ya kwamba kuishi ni bahati ya mara moja na ulimwengu haukuumbwa kwa ajiri yako bali wewe ndiyo sehemu ya huo ulimwengu inayojitambua

Ni bonge la awareness
Imebidi nitafute video ya hao Samurai (Heike) Crabs, truely astonishing


Hii phenomena ya evolution ipo kwenye maua pia, ona hii video hapo chini

 
Evolution ni Fact,

Mababu zetu walikua ni wabunifu, walikua na uwezo wa kubuni vitu kama kuchonga vinyago, kutengeneza silaha za jadi n.k

Kwahio walipojiuliza swali la "viumbe vimefika vipi duniani? "

Wali 'generalize' uzoefu wao kwa kusema vilibuniwa na mwingine mwenye utashi kuliko wao,

Ni 'honest mistake' walikua sahihi kiasi chao mpaka pale sayansi ilipokuja na jibu bora zaidi

Darwin alikuja na jibu zuri zaidi kiasi kwamba contemporaries wake walijiona wajinga kwa nini hawakuwahi waza hivyo kabla wakati 'jibu'lilikua wazi mno..

Darwin hakua Atheist, alikua ni mkristo so hakukua na bias katika utafiti wake

Kuelewa evolution, Carl sagan aliwahi kutumia mfano wa 'kaa' [emoji886] (crab) wa japan

Huko japani, kuna kaa ambao magamba yao yana sura ya mashujaa wa zamani wa japan waliokua wanajulikana kama Samurai,
Ukitazama unaona kabisa picha ya shujaa wa kisamurai kama walivyokua wanaonekana, kwenye magamba ya hao kaa

Sasa hivi ndivyo evolution inayofanya kazi kwa namna simple ila ya kushangaza mpaka kuunda kitu 'complex' kama hiyo taswira ya samurai kwenye Magamba ya kaa bila utashi wowote ule...

Kulikua na vita kati ya makabila mawali ya kijapani, miaka kama 1000 iliyopita

Baada ya vita, kabila lililokua linatawala kwa wakati ule lilizidiwa nguvu na kuangushwa na kabila jingine...mfalme wa wakati ule alikua ni mtoto mdogo wa miaka 7 wa kabila lililozidiwa

Kuona vile, bibi yake akamchukua, pamoja na Samurai wengine waliobakia na kuamua kujiua kwa kujitosa baharini

Wachache walio salia walikua ni vijakazi wasichana ambao baadae waliishia kuolewa na kuzaa na wavuvi walio kua fukwe ile yalipotokea hayo mauaji

Katika kuenzi na kuukumbuka ufalme ulioanguka, wale wavuvi ambao sasa wameshazaa na hawa wasichana wakawa wanahakikisha kaa yoyote yule atakaye kua na magamba yenye 'pattern' zinazo resemble 'sura' ya binadam wasiuawe bali warudishwe baharini

Kumbuka ubongo wa binadam upo vizuri sana kwenye kutambua pattern/alama na kutengeneza maana kutokea kwenye ile alama

Ndio maana unaweza hisi kuna sura ya mtu mwezini japo kiuhalisia hakuna chochote zaidi ya ubongo wako tu

So kitendo hiki kikasababisha kaa waliokua na magamba yenye alama zinazo fanana na sura ya binadamu wazaliane kwa wengine kuliko wale wasiokua nayo, kwa sababu kaa wasiokua na alama za namna hio walivuliwa na kuliwa, so chance ya kuzaliana kwao ilikua ni ndogo uki linganisha na wengine..

Kadri miaka ilivyozidi kwenda, ikawa sasa kaa waliokua na alama ambazo kwa kiasi fulani hao wavuvi waliitafsiri kama sura ya samurai aliyekasirika hawakuvulia uki compare na hawa wengine

Hii ikafanya kaa waliokua na magamba yanayofanana na sura ya samurai waliokasirika wazaliane kwa wingi kuliko wengine

Hiki kitendo cha kubagua kaa kulingana na sifa au traits zao, kinaitwa Artificial selection

Na walifanya hivi cause walikua na imani mizimu ya wale samurai waliojitosa baharini ilikua inaishi ndani ya hao kaa... Imani hii ikafanya bongo zao zianze kuona sura ya mtu kwenye magamba ya kaa,mpaka pale walipoanza kuona sura ya samurai

Ilitokea tu kwa bahati, magamba ya baadhi ya kaa yakawa na alama ambayo kwa wavuvi ili fanana na sura ya mtu, kama unavyoweza ona sura ya mtu kwenye mwezi au 'emoji' hii tunaita 'mutation' yaani mabadiliko yasiotabirika au kuwa na maana yoyote

Then haya mabadiliko yanapotezwa au kutunzwa kupitia artificial selection

Mwisho tunakua na kaa wenye sura ya samurai kabisa japo kuwa hakuna aliyechora ile sura kwenye magamba yao

So organic evolution inafanya kazi hivi hivi, tofauti yake ni kwamba badala ya kuwa na Artificial selection ambayo ipo 'biased'( wavuvi walikua wanapendezwa zaidi na kaa wenye alama inayounda sura ya mtu au ya samurai)
Yenyewe ina natural selection,yaani hizo 'mutations ' zinapotezwa au kutunzwa kulingana na jinsi gani zinamsaidia huyo kiumbe kuishi kwenye mazingira yake

Kama alama zinazofanana na sura ya samurai zilivyo saidia baadhi ya kaa ku survive

Na mabadiliko yenye faida ni nadra sana kutokea inaweza chukua mamilion ya miaka kupata mutation yenye faidi kulingana na mazingira husika

Kuamini kuwa viumbe vimebuniwa na mwenye utashi kuliko sisi ni sawa na kuona sura ya mtu mwezini japo kuwa hakuna sura yoyote ile

Ubongo wetu umekua hardwired kutafuta maana kwenye pattern hata kama haipo
Na hii 'useful mutation' ndiyo iliyofanya mababu zetu wa survive mamilion ya miaka mpaka leo
Plus kuamini tumeumbwa, hakujibu swali lolote?
Kama tunataka kujua asili ya maisha, kudai maisha yameumbwa na mwingine bado hakukati kiu yetu ya kutaka kujua asili ya maisha

Je asili ya maisha ya huyu mwenye utashi kuliko sisi yametoka wapi?

Je kama maisha yake hayana chanzo chochote je kwanini tusi 'save'step na kusema basi hata maisha ya hapa duniani hayana chanzo chochote?
heavy[emoji119]
 
Exactly, Kama ni uumbaji, basi ulifanyika kwa mageuzi toka kiumbe cha seli moja majini hadi kufikia binadamu wa nchi kavu, lakini sio kama kwa magic wand kwamba paaaap, binadamu huyo akatokea kwenye udongo, no way!
Hufanani na avatar yako
 
Tangu nimeandika huu uzi, hii ndio comment inayonifanya niamini kwamba kweli kuna watu wanfikiria kama mimi, maana naumia sana kuona watu wananibishia kwa vitu amabavyo ni soooo simple and logical, kiasi toka mwanzi nikasema kwamba watu wanaweza kujitoa akili na kubishia vitu dhahiri, logical amd evidence based kama evolution?! Aisee umeelewa vizuri mno hili suala la evolution. Your comment is truely and absolutely the best comment in this thread!!!!!!!!!
Naambatanisha nakala, inafaa kujisomea kuongeza wigo wa hoja "Bloodline of the Gods
 

Attachments

Shida ni kuwa Darwin muhamasishaji wa theori hizo alikiri kuwa aliamua kumpinga Mungu baada ya mkewe kuugua muda mrefu,alipoomba mkewe akafa.Hivyo evolution ni uongo uliokusudiwa kulipa kisasi kwa mkristo aliyeasi Darwin.
 
Samurai crabs ni kielelezo bora kabisa cha evolution by artificial selection
 
Mfano mwingine ni 'vitendea kazi' vya uzazi kwa mijusi wanaozaa kwa kuji-clone, yaani hawa mijusi huwa wanataga yai ambalo ni clone yao wenyewe na hivyo hawaitaji kujaamiiana ili kuzaa. Sasa kwakuwa bado wana hivi viungo ambavyo vimebaki huwa wanavitumia kama kujiburudisha tu, lakini havina kazi kwa sasa,japo hapo nyuma vilijuwa na kazi. [emoji118][emoji118][emoji118][emoji118][emoji120][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]
Kwa hiyo na wewe unakubaliana na jamaa kuwa hakuna kilicho UMBWA?.
 
Back
Top Bottom