Vetting system ya viongozi ilishindwaje kumchuja Ole Sabaya?

Vetting system ya viongozi ilishindwaje kumchuja Ole Sabaya?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Tulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.

Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika. Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.

Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT, Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.


Pamoja na kuwapika, viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha. System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.

Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini?

Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!

Kuna kitu ni seriously wrong.
 
ALIKWAMBIA UKINISHAURI NDIO UMEHARIBU,SASA ULITEGEMEA VYOMBO VYA VETTING VIFANYAJE

HUKU UKIJUA YEYE NDIO AMIRI MKUU WA VYOMBO VYOTE.ALIKUWA RADHI KUPATA USHAURI KWA MAKONDA NA SI VYOMBO VINAVYOPASWA KWA MUJIBU WA MAMLAKA.

MFUMO WETU NI TATIZO
KINGA ni nyingi mno
 
Tulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.

Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika.
Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.

Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT,Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.


amoja na kuwapika , viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha.
System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.

Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini.?
Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!

Kuna kitu ni seriously wrong.
Bigup👍👍👍
 
Tulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.

Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika.
Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.

Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT,Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.


amoja na kuwapika , viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha.
System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.

Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini.?
Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!

Kuna kitu ni seriously wrong.
Mbona huulizi ya Makonda?
Bado wapo wengi sana wataburuzwa kwa pilato
 
Vetting ya Awamu ya Mwendazake ili Kuwa moja [emoji28]

1. Kuchukia wapinzani

Ya pili [emoji116][emoji116][emoji116]
Bonus ya Sabaya

2. Hampendi Mbowe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umetisha sana mkuu
 
Vetting kwa Jiwe?

Yule alikuwa hata akiletewa taarifa kwamba huyu hafai kwa sababu hizi na zile kama anamhitaji kwa sababu za kichwani mwake anamteua tu,sio kwamba vetting haifanyiki ila file likitua kwake yeye ndio alikuwa anaamua lakini taarifa tayari alikuwa nazo.

Angalia Hii mifano ya hizi kauli zake;

1.Nimemchagua mpina kwa sababu ni 'kichaa' mwenzangu

2.Waziri vuta hata bangi kwa kujificha ili uwe mkali kidogo(Akimwambia Prof Mbarawa)

3.Mimi sipangiwi cha kufanya ukinipangia ndio umeharibu kabisa

4.Usifurahie umeshinda kura za maoni maana itategemea nimeamkaje

Kwa kauli kama hizi usitegemee vetting ilikuwa na nafasi yoyote kwake.
 
Mimi tangu Kangi Lugola alipepewa tu dhamana ya kuwa Waziri wa mambo ya ndani hapo ndio nilidhibitisha kuwa Inner circle ya Marais wengi haswa Wa africa haipo kwa ajili ya kumsaidia kiongozi atekeleze majukumu yake kwa ufanisi bali ipo kwa ajili ya kumfarahisha na Unafiki wa kiwango cha juu, Hayati Magufuli alimpenda sana kijazi mana alimkosoa kwa staha na Umakini mkubwa privately na pia hakutamani madaraka makubwa leo unakuwa na inner circle ya watu wapenda publicity na madaraka lazima uwe ousted tu
 
Back
Top Bottom